Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Umeniwahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa mkuutuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
Ama kweli ccm wana wawakilishi, sasa angalia mtu kama wewe, na kuna mwenzio pia nimekuta hajui kuandika kama wewe eti na yeye kapewa kazi ya kuja kitetea chama. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Do huwa mnapenda kuandika ujinga ujinga mkishaa shida makande na jouce ya miwa
Najaribu kufikiri kuhusu hoja yako hii...Kesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Yupo prof Ibrahim Juma, na Job Ndugai. Au Jaji mkuu kibatala?tuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
usipanic.Yupo prof Ibrahim Juma, na Job Ndugai. Au Jaji mkuu kibatala?
Hekima ya nani inaelekeza hivyo?
Maana kila mtu ana hekima yake
Siyo kweli kuwa kila mtu ana hekima. Wapo wasiokuwa na hekima. Ninamaanisha kama angekuwa na hekima ya kiuongozi.Hekima ya nani inaelekeza hivyo?
Maana kila mtu ana hekima yake
Kajifunze kuandika kwanza.Do huwa mnapenda kuandika ujinga ujinga mkishaa shida makande na jouce ya miwa
Hiyo ndio Magufulegacy, ni 'cancer'.tuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
Siyo kweli kuwa kila mtu ana hekima. Wapo wasiokuwa na hekima. Ninamaanisha kama angekuwa na hekima ya kiuongozi.
YakawaidaHekima ya nani inaelekeza hivyo?
Maana kila mtu ana hekima yake
Kosa lako kubwa ni kudhani kuwa kesi ya ugaidi ni sawa na kesi ya Mpare kutetea kuku - this is mass murder my friend. No Judge on this earth will let free a prisoner accused of mass murder, amwachie aende scoot free eti tu kwa sababu tarege ilikosewa. Mtakataa kila mtu, mtakataa kila kitu, kuna watu alfu wangeweza kufaKesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Hakuba mtu wa kujiuzulu. Alikuwa njiani kwenda kulipuwa sheli za Temeke na Mbeya ba Tarime ili iwe taharuki. Unawajua Wabunge wa huko? Kama wataachiwa kiba adamoo kijanjakijanja tujue jamii haiko salama.Hapana wa jiuzuru sio jaji mkuu ni mtunza ya nyaraka za mahakama court custodian
Suluhisho la kudumu na litakaloondoa aibu hii ni KATIBA MPYA.Kesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Mahakama zimegeuzwa kuwa vizimba vya kuwafunga Wapinzani Wanaharakati na Critics.Kwa lugha iliyonyooka tuseme nchi hii haina Mahakama kama ambavyo haina Bunge.
MUNGU AKULINDE sana Mkuu.tuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
Wewe unayo?
Hebu tuambie unaongozea wapi ili na sisi tuje tupime hekma yako[emoji23][emoji23]