Tafakari kabla yakuwakilisha kilichojaa ubongoni mwako. Hata kukaa kimya mbele ya wenye weredi nako ni hekima. Usipende kudhihirisha ujinga wako kwa GT.Do huwa mnapenda kuandika ujinga ujinga mkishaa shida makande na jouce ya miwa
Hakuba mtu wa kujiuzulu. Alikuwa njiani kwenda kulipuwa sheli za Temeke na Mbeya ba Tarime ili iwe taharuki. Unawajua Wabunge wa huko? Kama wataachiwa kiba adamoo kijanjakijanja tujue jamii haiko salama.
Huu ndio ukweli, Prof Juma from being a mere Prof anaefundisha UDSM hata uwakili hakuwa ameutumikia na kwenda kuwa Jaji Mkuu, ameishia kuifanya Mahakama uonekane toothless muoga sana yule mpare.tuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
Tulielewa tushida -shiba
joice - juice
Mkuu, kuna mtu anaitwa Job Ndugai, aliumuona mke wa Yesu lakini bado akiri yake iko mashakani, je huyu Jaji mshika dini tu anaweza akawa na busara zaidi kuliko aliyemuona mke wa Yesu???Sijui tufanye nini Tupate Jaji Mkuu alie weledi kusimamia jaki huko Mahakama za juu....huyu pamoja kuwa mshika dini wana siasa wamemzidi....
Prof. ASSAD piaKwasisi Watanzania mwenye MOYO wa Kujiuzulu na kuacha Ugali wa moto moto, na Minofu ya Nyama, na Gari la bure, na "Shkamoo Mzee" za burebure, HAKUNA! labda Mzee Rukhsa na Rostam na hawa sijui waliumbwa kwa madini gani.
Assad anaweza kujiuzulu we unamuonaje.
Sahihi kabisatuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
Ooih mitaa ya jerusalem....hapo kweli yuko juu sana....hadi Galilaya alifika huko kote ndio mitaa yakeMkuu, kuna mtu anaitwa Job Ndugai, aliumuona mke wa Yesu lakini bado akiri yake iko mashakani, je huyu Jaji mshika dini tu anaweza akawa na busara zaidi kuliko aliyemuona mke wa Yesu???
Ulimi hauna mfupa. Why pick on little nothings and ignore the gudygudies? Hii nchi imeliwa mno, Wahutu na Wasomati, watu wanakimbia genocide makwao wanakuja hapa tunawahifadhi halafu wanatutukana? Na nyie ndugu zetu Yuda Iskaroti mnawakingia kifua? Mlitakw TIGO wafadhili malipo ya magaidi rti Jaji Mkuu ajiuzulu, kutetea magaidi?Ooih mitaa ya jerusalem....hapo kweli yuko juu sana....hadi Galilaya alifika huko kote ndio mitaa yake
Watu wanne pekee ndo walitaka kufanya ugaidi wa zaidi ya mikoa mitano kukata miti,kuchoma vituo vya mafuta nakadhalika.Kosa lako kubwa ni kudhani kuwa kesi ya ugaidi ni sawa na kesi ya Mpare kutetea kuku - this is mass murder my friend. No Judge on this earth will let free a prisoner accused of mass murder, amwachie aende scoot free eti tu kwa sababu tarege ilikosewa. Mtakataa kila mtu, mtakataa kila kitu, kuna watu alfu wangeweza kufa
hatuna utamaduni huo. Makosa, Oli Mpolah watoe CJ, maajabu ya karne!Kesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Umeelewa au mihemko yako ya kiCCM ndiyo inayokuongoza?Hekima ya nani inaelekeza hivyo?
Maana kila mtu ana hekima yake
Hata Mbowe kwa hekima kutokana na shutuma anazoshutumiwa nazo anapaswa kujiuzuluKesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Usipende kujichekelesha sana.
Umeelewa au mihemko yako ya kiCCM ndiyo inayokuongoza?
Mtendaji mkuu wa mahakama huteuliwa kutoka serikalini.
Jaji mkuu yuko chini ya waziri wa Katiba na Sheria.
Spika yuko chini ya wananchi
Nadhani nimeeleweka.
Achana na takataka hii mkuu wangu,huyo ni kiaziUngetumia hata akili kidogo tu usingeandika huu ujinga