Dini ipi....unafikiri yeye hajui....yeye ni sehemu ya dhambi hii ya kinjama. Anahisi kwamba dhambi hizi ni za kisiasa za kuangamiza wasio na hatia kusudi ili kusaidia utawala ili yeye binafsi aendelee kupendwa na huyu mtawala...jaji mkuu anatabia za MAFARISAYAO KABISASijui tufanye nini Tupate Jaji Mkuu alie weledi kusimamia jaki huko Mahakama za juu....huyu pamoja kuwa mshika dini wana siasa wamemzidi....
Hebu soma ulichoandika Kama hutoona aibu na kujidharau! Unayananga makande yaliyokukuza baada ya kufika mjini na kuikuta mihogo ambayo umeigeuza menyu kuu? Shame!Do huwa mnapenda kuandika ujinga ujinga mkishaa shida makande na jouce ya miwa
Hiki chombo Mahakama ya Tanzania haina tofauti na Tume ya Uchaguzi ya Tanzania chinni ya Wilson MaheraKesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Kule juu kukioza huku chini ndio kabisaHili jambo la msingi sana uliloandika mleta mada, kila siku tumekuwa tunalalamika mahakama zetu hasa mahakama kuu imeoza, majaji wake wameiondolea credibility imepoteza uaminifu kwa watanzania wote wapenda haki.
Kinachofuata kifanyike nini ili kututoa hapa tulipo? hili linahitaji suluhisho la muda mfupi ambalo litasaidia kurudisha imani ya watu kwa mahakama zetu, hapa ndio hoja yako mleta mada inapata nafasi.
Jaji mkuu anatakiwa ajiuzulu, tusiendelee kulea huu uozo matokeo yake wengi watazidi kuumizwa na maamuzi ya hovyo yanayolenga kuwaumiza wapinzani wa serikali ya CCM yasiyofuata misingi ya sheria na haki za binadamu.
Napendekeza pawepo na movement isiyo na mwisho kumtaka jaji mkuu ajiuzulu mara moja kwa kushindwa kuwaweka majaji walio chini yake wafuate misingi ya haki wakiongozwa na sheria, naamini kwa nafasi yake ana mamlaka ya kuwashughulikia wote wanaokiuka viapo vyao, lakini kwa kukaa kwale kimya anaoneaha nae hafai kuendelea kushikilia hiyo nafasi.
Tusihangaike kila siku na hawa majaji wa chini wasiojali miiko ya taaluma yao, sasa tumuangalie yule kiongozi wao anayeonekana kukaa kimya na kufurahia huu uozo unaoidhalilisha tasnia ya sheria nchini kwetu Tanzania.
Duuu huyo Mehela bado kustaafu ? Ana 62 anaenda 63 sasa.....daaaaaHiki chombo Mahakama ya Tanzania haina tofauti na Tume ya Uchaguzi ya Tanzania chinni ya Wilson Mahera
Pole ndugu,Hakuba mtu wa kujiuzulu. Alikuwa njiani kwenda kulipuwa sheli za Temeke na Mbeya ba Tarime ili iwe taharuki. Unawajua Wabunge wa huko? Kama wataachiwa kiba adamoo kijanjakijanja tujue jamii haiko salama.
Unataka kusemaje mkuu Daudi Mchambuzi , kwamba umebaki muhimili mmoja tu? Kuna wakati JPM aliwahi kusema kwamba katika hiyo mihimili 3 mmoja imejikita zaidi tukapiga kelele leo unasema hatuna Jaji Mkuu wala Spika!tuseme tu ukweli hii nchi haina jaji mkuu kama ambayo haina spika wa bunge.
Mehela mbona bado kinda wewe anastaafu kwenda wapi?Duuu huyo Mehela bado kustaafu ? Ana 62 anaenda 63 sasa.....daaaaa
Hawezi kabisa asilaniMkuu, kuna mtu anaitwa Job Ndugai, aliumuona mke wa Yesu lakini bado akiri yake iko mashakani, je huyu Jaji mshika dini tu anaweza akawa na busara zaidi kuliko aliyemuona mke wa Yesu???
Hawezi kabisa asilaniMkuu, kuna mtu anaitwa Job Ndugai, aliumuona mke wa Yesu lakini bado akiri yake iko mashakani, je huyu Jaji mshika dini tu anaweza akawa na busara zaidi kuliko aliyemuona mke wa Yesu???
Jaji Ibra Juma yeye ni kuvuta fegi tuKesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.
Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.
Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Wewe naona unazungumzia Jaji fake Mihayo. Nasema fake kwa sababu hawana hadhi ya kuitwa majajiDuuu huyo Mehela bado kustaafu ? Ana 62 anaenda 63 sasa.....daaaaa
Hekima ya wenye hekima.Hekima ya nani inaelekeza hivyo?
Maana kila mtu ana hekima yake
Na mwisho wa Mwenzi NMB inasoma baasi. Mengine mtajijua wenyewe.Jaji Ibra Juma yeye ni kuvuta fegi tu
Bila katiba mpya huzi zahama zitaendelea kututesa.Yaani MTU ajiuzulu aache mshahara wa mamilioni,rushwa za mamilioni,gari la mamilioni,posho za mamilioni,kutetemekewa na watu mamilioni...
Watu hamumtendei haki huyumtu!! Badala mmwambie aendelee kukandamiza side B na kujikomba side A kama mwishmiwa zu zu ili aongezewe muda na miposho!!
Dawa in katiba mpya mbali nahapo ujinga niwetu wananchi sio haoviongozi jipendekezi
Umeelewa au mihemko yako ya kiCCM ndiyo inayokuongoza?Hekima ya nani inaelekeza hivyo?
Maana kila mtu ana hekima yake
Mwambie Mume wako atuabisha Wahandisi(Engineers).Mwanamke anayefikishwa kileleni hayuko kama wewe.Kati ya mimi na wewe mhemkaji nani!?
Hebu jitulize huko
Mwambie Mume wako anatuabisha Wahandisi (Engineers).Mwanamke anayefikishwa kileleni hayuko kama wewe.Kati ya mimi na wewe mhemkaji nani!?
Hebu jitulize huko
Umeelewa au mihemko yako ya kiCCM ndiyo inayokuongoza?
Mwambie Mume wako atuabisha Wahandisi(Engineers).Mwanamke anayefikishwa kileleni hayuko kama wewe.