Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Gen zjf ina shida gani na gen z?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gen zjf ina shida gani na gen z?
Gen Z wameyatimbajf ina shida gani na gen z?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitoto vya 2000 vinazeeka saana....Angalia hata mitaani.
Kwanza vina kazwa saana .
Pili, havifanyi kazi miili legelege.
Tatu, muda mwingi vipo kwenye gadgets sura zinakomaa na macho yanafura.
Mambo ni mengi....Ila fuatilia vya kiume ndiyo kabisa utadhani vimezaliwa 74.
Unadhani Marioo ana umri gani au yule demu wake? Guess halafu ulizia umri wao
Duh! Unamuongeleaje hivyo mtoto wa miaka 12?View attachment 3185340
Hivi kwa sisi ambao tayati tumefika miaka 38 bado tunajitafuta na tunaonekana kama wazee, Hivi kama ukitoboa labda na miaka 45. Unaweza ukarudi kuwa kijana kabisa ukisingatia diet, mazoezi na vinginevyo ? Au Wenzetu wanaanza hayo mambo wakiwa na miaka 20.
Inasemekana hiyo pisi ina miaka 12.
[/QUOTEView attachment 3185340
Hivi kwa sisi ambao tayati tumefika miaka 38 bado tunajitafuta na tunaonekana kama wazee, Hivi kama ukitoboa labda na miaka 45. Unaweza ukarudi kuwa kijana kabisa ukisingatia diet, mazoezi na vinginevyo ? Au Wenzetu wanaanza hayo mambo wakiwa na miaka 20.
Huyu ni mtu mzima mwenzetu😂
Adrenochrome niliifuatilia ila naona ni kama conspiracy hivi labda utuwekee solid evidences and why watu wazima hawazalishi?Mkuu unafahamu kitu inaitwa Adrenechrome?
Kilichonivutia, hakuna kati yao aliyevaa kishika Maziwa (brah), kwahiyo nyonyo bado linadai
Ila to be honest, ningekuwa mshauri wa Jigga ningemwambia akate hizi nywele kurudia mwonekano wake wa zamani
Hizo nywele za marasta hazijamkaa vyema
View attachment 3185340
Hivi kwa sisi ambao tayati tumefika miaka 38 bado tunajitafuta na tunaonekana kama wazee, Hivi kama ukitoboa labda na miaka 45. Unaweza ukarudi kuwa kijana kabisa ukisingatia diet, mazoezi na vinginevyo ? Au Wenzetu wanaanza hayo mambo wakiwa na miaka 20.
Kuhusu watu wazima kuzalisha Adrenechrome, kwanza tambua kila binadamu ana kiwango au homoni ya Adrene, na hicho ni kiungo muhimu katika mwili.Adrenochrome niliifuatilia ila naona ni kama conspiracy hivi labda utuwekee solid evidences and why watu wazima hawazalishi?
Kwa kweli huo muonekano wake, haujakaa vizuri labda Kwa kuwa hatujamzoea kuwa hivyoInabidi kwanza Hov mwenyewe ajibu kwanini amechagua free form dreadlocks badala ya low cut aliyozoeleka nayo.
Sijawahi kusikia akiulizwa hili lakini nafahamu Hov amekuwa akiongelea na kusisitiza umuhimu wakuwa authentic lakini pia kuwa huru sasa labda mtazamo huu ndiyo umemfanya achague free form dreadlocks. Kumbuka hili, ni nadra sana mtu yoyote awe rastafari au vinginevyo anaweza kuchagua kuwa na free form locs bila ya spiritual reasons au nia unayojiwekea mwenyewe kwamba dreadlocks zangu kila zinapokuwa zitawakilisha progress yangu katika personal growth.
Kama huna sababu muhimu huwezi kukuza nywele zako ziwe free form locs utakata tu au hutazipenda.
NImewahi kukutana na mzee wa Kijapani ana umri wa miaka 124 mwaka jana.... lakini anaonekana kama mtu wa miaka 60 hivi.......Siri yake kubwa ni kushinda na njaa(kufunga) hana ratiba maalum ya kula chakula na anapokula hula kidogo ili asishibe(mlo kamili kiasi kidogo)....Tokea hapo nikaanza kumuelewa Dr,Janabi kwa mbaali...View attachment 3185340
Hivi kwa sisi ambao tayati tumefika miaka 38 bado tunajitafuta na tunaonekana kama wazee, Hivi kama ukitoboa labda na miaka 45. Unaweza ukarudi kuwa kijana kabisa ukisingatia diet, mazoezi na vinginevyo ? Au Wenzetu wanaanza hayo mambo wakiwa na miaka 20.
Kwahyo msuguri naye alikua hali si ndiyo na amekufa akiwa 104 tena nywele bila mviNImewahi kukutana na mzee wa Kijapani ana umri wa miaka 124 mwaka jana.... lakini anaonekana kama mtu wa miaka 60 hivi.......Siri yake kubwa ni kushinda na njaa(kufunga) hana ratiba maalum ya kula chakula na anapokula hula kidogo ili asishibe(mlo kamili kiasi kidogo)....Tokea hapo nikaanza kumuelewa Dr,Janabi kwa mbaali...
We si bureKwahyo msuguri naye alikua hali si ndiyo na amekufa akiwa 104 tena nywele bila mvi
huyu Jay-Z mbona anaonekana ana afadhali..vp ukimuona Kanye West utasemajeNa Jay-Z anazidi kuonekana kama Mwehu
🤣🤣🤣🤣Jamaa kaamua awe father sio bitozi tena km Will Smith ili kulinda tunda lake Beyonce asije akageuka kua Jada kwa hio lazma J awe bandidu na sura pia ni bandidu mwanzo mwisho mwendo wa kujifukiza mimoshi km BoB Marley