Hela bwana! Beyonce ndio kwanza anakuwa mwali

Jay z ndo anazidi kuonekana kama jambazi flani hivi
Akileta ubisho soon B atabanduliwa na vijana wa 2000 km ilivyotokea kwa Jada wa Will Smith vijana wa 2000 wanakula mpaka tope sababu ya Will kuleta ubishoo kwa hio lazima aonyeshe ufather ukoloni na ubandidu sura ya kauzu unaijua dagaa kauzu ushawahi kumuona anachekacheka?
 
Sema hapo umeongea neno

Cc Kasie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…