Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwa mtazamo wangu, aliyokuwa anayasema Lissu sasa tunaanza. kuyaona wazi wazi na hivyo ni swala la muda tu kabla Lissu hamjamuumbua Mbowe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe huyu ninirii ndo sponsor wa mzee wa kurambishwa asaliKwa mtazamo wangu, aliyokuwa anayasema Lissu sasa tunaanza. kuyaona wazi wazi na hivyo ni swala la muda tu kabla Lissu hamjamuumbua Mbowe.
Na yeye akimlipua maana ndio aliekuwa akimuogesha hospita ya Nairobi baada ya kuwa hajitambui? Kama atafanya hivyo lissu nitazidi amini kwamba kweli Lissu anaendeshwa na Msigwa kama drone ya kupulizia wadudu mashambaniKwa mtazamo wangu, aliyokuwa anayasema Lissu sasa tunaanza. kuyaona wazi wazi na hivyo ni swala la muda tu kabla Lissu hamjamuumbua Mbowe.
Na hiki ndio Lissu atalifanya.Bora tukose wote
Biashara ya ubia Kati ya Mbowe na CCM Lisu anaenda kuiharibu muda Siyo mrefu. Mbowe ana muda mchache Sana wa kujitafakari na kuchukua hatuaKwa mtazamo wangu, aliyokuwa anayasema Lissu sasa tunaanza. kuyaona wazi wazi na hivyo ni swala la muda tu kabla Lissu hamjamuumbua Mbowe.
Amlipue mtu aliyemshikia drip la kuongeza damu kutoka Dodoma - Nairobi, kwa ajili ya UWENYEKITI tu.Kwa mtazamo wangu, aliyokuwa anayasema Lissu sasa tunaanza. kuyaona wazi wazi na hivyo ni swala la muda tu kabla Lissu hamjamuumbua Mbowe.
Anaenda kuwa kama Lipumba.Biashara ya ubia Kati ya Mbowe na CCM Lisu anaenda kuiharibu muda Siyo mrefu. Mbowe ana muda mchache Sana wa kujitafakari na kuchukua hatua
Huu ndo utaratibu wa waTZNa hiki ndio Lissu atalifanya.
Harakati za mapambano zitaendelea.Mwisho mzuri wa chadema.
Kwa hiyo ukinisaidia wakati naumwa napaswa nikutunzie uovu?Na yeye akimlipua maana ndio aliekuwa akimuogesha hospita ya Nairobi baada ya kuwa hajitambui? Kama atafanya hivyo lissu nitazidi amini kwamba kweli Lissu anaendeshwa na Msigwa kama drone ya kupulizia wadudu mashambani