Hela ya Mama Abdul bila shaka inaendelea kufanya kazi, ni swala la muda tu kabla Lissu hajamlipua Mbowe

Hela ya Mama Abdul bila shaka inaendelea kufanya kazi, ni swala la muda tu kabla Lissu hajamlipua Mbowe

Itakuwa ni aibu kubwa kwa Mbowe kujidhalilisha katika hatua hizi za mabadliko. Atajiondolea heshima aliyo jijengea huko siku za nyuma. Historia itamhukumu vibaya sana.
Nahisi amechukua hela ya ccm kuhakikisha Lisu hapati nafasi ya kugombea iwe uenyekiti, ama urais, sasa anashindwa kujua asimamie kwenye kuheshimu demokrasia na mabadiliko, ama asimamie vipande 30 vya fedha kutoka ccm. Safari hii Lisu amefanya move ya uhakika, ngoja ukweli ufahamike.
 
Kuna jamaa aliniambia ile siku Mbowe alikutana na Mama Abdul baada ya kutoka Magereza alipewa Bil. 20

Then akaja kupewa Bil. 10 na ziliwekwa kwny Private Account

Aliyeniambia ni Mtu wa karibu sana na Jamaa

Labda iwe Uzushi 🤣
Hii nchi ina pesa aiseee.
 
Biashara ya ubia Kati ya Mbowe na CCM Lisu anaenda kuiharibu muda Siyo mrefu. Mbowe ana muda mchache Sana wa kujitafakari na kuchukua hatua
Lissu anafanya mageuzi ya kweli. Hata Mbowe aking'ang'ania madaraka ataishia kuwa kama Lipumba na watu watajua kuwa hakuwa mpinzani wa kweli bali ni ccm aliyejivika joho la upinzani ili kuuhadaa umma. Lipumba watu walipomshtukia kuwa ni mlagai wa kisiasa wakaikimbia CUF na ndicho kinachoenda kumtokea Mbowe.
 
Sasa bado huoni tofauti iliyopo katika hayo uliyo andika hapa?

Hao wapambe wanao kula kwa kujuwa mkuu wao ndiyo mlaji mkuu;
Na Hawa wapambe "wapenda kula" wanaojuwa mkuu wao hagusiki na ulaji wanao upenda wao.

Wewe huoni tofauti kabisa kati ya makundi hayo mawili?
Lissu kinachomuuma ni viongozi kuchukua pesa nyuma ya pazia. Anajua kabisa sugu ni mmoja wa waliochukua pesa alafu sasa hivi ndio mwenyekiti wa Kanda. Hapo kutakua na upinzani wa kweli? Hayo ndiyo yanamuumiza kichwa lissu. Mmechukua pesa mtawezaje tena kuwa wapinzani wa kweli?
 
Naona history inazidi kujirudia. Hapo kale, NCCR Mageuzi kilikuwa chama kikuu cha upinzani. Kilidhoofishwa na kuporomoshwa na migogoro/mipasuko ya design hii. Baada ya hapo chama cha CUF kikalivaa hilo taji la chama kikuu cha upinzani. Kama vile watu wake hawakujifunza yale yaliyokiporomosha chama cha NCCR Mageuzi, nao hawakuweza kuyaepuka; CUF nayo ikaporomoka na hivi ninavyoandika (na wewe unaposoma) iko na inaendelea kuwa kwenye life support!

Kwa mwenendo huu wa CHADEMA, ACT Wazalendo hawana budi kujiandaa kukipokea kijiti cha chama kikuu cha upinzani. Siamini kama CHADEMA ni clever enough kuweza kuukwepa huu mkenge!
ACT NI NDOTO KUWA CHAMA KIKUU
 
Lissu kinachomuuma ni viongozi kuchukua pesa nyuma ya pazia. Anajua kabisa sugu ni mmoja wa waliochukua pesa alafu sasa hivi ndio mwenyekiti wa Kanda. Hapo kutakua na upinzani wa kweli? Hayo ndiyo yanamuumiza kichwa lissu. Mmechukua pesa mtawezaje tena kuwa wapinzani wa kweli?
Wewe unakimbilia mbele kabla ya haya yaliyopo kutengemaa.

Zungumzia "Uenyekiti wa Sugu" baada ya Tundu Lissu kuchukua uongozi wa chama, hapo tutajadiliana vizuri.
Kama kweli unaona kuwa mwenyekiti wa kanda atajifanyia mambo yake pembeni yasiyo kubaliwa na Mwenyekiti wa chama, hapo kuna kasoro kubwa ndani ya chama hicho unacho kiwazia wewe.
 
Nahisi amechukua hela ya ccm kuhakikisha Lisu hapati nafasi ya kugombea iwe uenyekiti, ama urais, sasa anashindwa kujua asimamie kwenye kuheshimu demokrasia na mabadiliko, ama asimamie vipande 30 vya fedha kutoka ccm. Safari hii Lisu amefanya move ya uhakika, ngoja ukweli ufahamike.
Binafsi naomba waTanzania wanapo yaona na kuyasikia haya ya akina Mbowe; wasisahau chimbuko la matatizo linapo anzia.

Kama Samia amefanya kila namna ya manunuzi ili mradi tuu aendelee kuwepo kwenye uongozi, kwa nini waTanzania washindwe kujuwa tatizo la nchi yao ni nini?

Haya ndiyo waTanzania watahitajiwa kuyaelewa na kuyafanyia maamuzi muhimu 2025; yasiishie tu kwa hawa akina Mbowe.
 
Nilipo waambieni mbowe ni muhuni na mpumbavu mkaniona natukana
Yule hata ukimwangalia tu utajua ni msanii wa kisiasa wala si mpinzani na ndio maana ccm wanatetea abaki kuwa mwenyekiti kwa sababu ni kibaraka wao.
 
Kama sio ACT Wazalendo, ni chama gani kingine kinachoweza kupokea hicho kijiti?
Hakuna kwa sasa labda watu wa jpm waamie chama chochote ndiyo kitakuwa na nguvu ...nao ni ngumu kuingia hivyo vyama kwa sababu ni vya kipumbavu bora wapambane kimya kimya ndani ya ccm hadi hatakapo kuja rais asiye MUISIHARAMU ndiyo nchi itapata tena mwangaza...kwa sababu genge lote la raia feki ni waislamu na vibaraka wao ambao ni raia kweli ni waislamu...kuna kikundi cha watanzania waislamu kinatumia na genge la Raia feki k7fisidi na kuhalibu nchi
 
Lissu kinachomuuma ni viongozi kuchukua pesa nyuma ya pazia. Anajua kabisa sugu ni mmoja wa waliochukua pesa alafu sasa hivi ndio mwenyekiti wa Kanda. Hapo kutakua na upinzani wa kweli? Hayo ndiyo yanamuumiza kichwa lissu. Mmechukua pesa mtawezaje tena kuwa wapinzani wa kweli?
Na hayo ndiyo yanayo msukuma agombee uongozi wa chama; na siyo kuwa "wapinzani wa kweli", bali kuwa chama tawala kinacho fanya kazi kuwatumikia waTanzania kwa manufaa yao na nchi yao.
 
Kelele za nini ? Tusubiri uchaguzi siameshachukua fomu ?? Basi asubiri uchaguzi kura zipigwe kama anadhani atapita bila kupingwa basi amechemsha mapemaaa !
Mbowe mbele kwa mbele !
Mtoto wa Town vs mtoto wa shamba
 
RUSHWA ya Mama Abdul itaifanya CHADEMA iende kuwa kama TLP na Vyama vingine vilivyotiwa mfukoni.

Ikiendelea hivyo CHADEMA siyo Baba yangu wala Mama yangu.
 
Back
Top Bottom