Hela ya Mama Abdul bila shaka inaendelea kufanya kazi, ni swala la muda tu kabla Lissu hajamlipua Mbowe

Hela ya Mama Abdul bila shaka inaendelea kufanya kazi, ni swala la muda tu kabla Lissu hajamlipua Mbowe

Vyama Makini huwa vinamalizwa na RUSHWA UKABILA na UDINI.

UDP kilimalizwa na UKABILA na kutokuwa na Ukomo wa Uongozi

CUF kilimalizwa na UDINI na kutokuwa na Ukomo wa Uongozi

TLP kilimalizwa na "Umangimeza" wa Hayati Mrema
CUF ilikua na udini au wakristu Wana kinyaa na jambo ambalo waislam wako mbele!?..media ndiyo zilikomaa kwamba cuf ina udini,hata habari zao hazikuonekana kwenye Media,kuna kasisi alimtambia sheikh mmoja kwamba cuf wameshaiua
 
Kwa mtazamo wangu, aliyokuwa anayasema Lissu sasa tunaanza. kuyaona wazi wazi na hivyo ni swala la muda tu kabla Lissu hamjamuumbua Mbowe.
Net salary yako ni(-)
Hakuna anamuweza mwamba mbowe.
Ataongea upupu weee haji ajinyee mbowe yupo.
Tutamtetea mbowe hadi muombe PUU
 
Na yeye akimlipua maana ndio aliekuwa akimuogesha hospita ya Nairobi baada ya kuwa hajitambui? Kama atafanya hivyo lissu nitazidi amini kwamba kweli Lissu anaendeshwa na Msigwa kama drone ya kupulizia wadudu mashambani
Mkuu kumlipua kwa kitu gani.
Lisu amedharauliwa na watu wenye akili na busara amebaki na chawa wa msigwa
 
Kuna jamaa aliniambia ile siku Mbowe alikutana na Mama Abdul baada ya kutoka Magereza alipewa Bil. 20

Then akaja kupewa Bil. 10 na ziliwekwa kwny Private Account

Aliyeniambia ni Mtu wa karibu sana na Jamaa

Labda iwe Uzushi [emoji1787]
Nenda na wewe ukahongwe uchanwe marinda
 
Biashara ya ubia Kati ya Mbowe na CCM Lisu anaenda kuiharibu muda Siyo mrefu. Mbowe ana muda mchache Sana wa kujitafakari na kuchukua hatua
Lisu ataongea utumbo lakini mbowe kwa busara hatamjibu na lisu atajiondoa mwenyewe na hatapata chama cha kumpokea maana vyama vyote vinajua lisu ni chizi
 
Tundu Lissu ameshtukia kuna siasa za kuwalaghai watanzania.
Na watanzania wamekuwa wakidanganywa kwa muda mrefu sana na biashara ya siasa.

Masikitiko yangu ni kwamba, hata kama Lissu akishinda uchaguzi na Mbowe akiondoka, Lissu hatokuwa na watu wa kusaidiana nae. Kila mtu ndani ya hicho chama anawaza kula.

Kwa wale mliomsikia mpambe wa mwenyekiti bwana Boniyai, alisema wote tumekula na tunataka kula na kila mtu anakula muda wake ukifika. Tofauti na Lissu siasa zake sio za kuwaza kula, ni za harakati za kutetea wanyonge.
 
Kuna jamaa aliniambia ile siku Mbowe alikutana na Mama Abdul baada ya kutoka Magereza alipewa Bil. 20

Then akaja kupewa Bil. 10 na ziliwekwa kwny Private Account

Aliyeniambia ni Mtu wa karibu sana na Jamaa
Kuna mtu pia alinambia kuwa Mbowe ni agent wa ccm, ndiyo maana siku wanachadema wa Tanga kwenye mazishi ya Kibao walipotaka kulianzisha dhidi ya Masauni, Mbowe nusura atoe pistol yake kiunoni awafyatulie.
 
Na yeye akimlipua maana ndio aliekuwa akimuogesha hospita ya Nairobi baada ya kuwa hajitambui? Kama atafanya hivyo lissu nitazidi amini kwamba kweli Lissu anaendeshwa na Msigwa kama drone ya kupulizia wadudu mashambani
Wanasiasa ni wale wale... Mfuatilie Msigwa vizuri
 
Mbowe kala sana hela za mama Abdul akirudi kwenye chama anajifanya yuko na wenzake ila nyuma ya pazia analamba asali
 
Mbowe ajue mabadiliko yakifika yamefika tu, hata afanye nini. Lisu amefanya movie ya uhakika. Sasa rasmi ubia wa Mbowe na ccm unaenda kuonekana vizuri.
Lissu Leo kaweka wazi wenje ndio alienda na Abdul nyumbani kwake, wenje ameshawishiwa na mwenyekiti agombee umakamu. Lissu anauliza hapo nani anatakiwa kuulizwa kuhusu pesa iliyotembezwa chamani?
 
Mbowe ajue mabadiliko yakifika yamefika tu, hata afanye nini. Lisu amefanya movie ya uhakika. Sasa rasmi ubia wa Mbowe na ccm unaenda kuonekana vizuri.
Itakuwa ni aibu kubwa kwa Mbowe kujidhalilisha katika hatua hizi za mabadliko. Atajiondolea heshima aliyo jijengea huko siku za nyuma. Historia itamhukumu vibaya sana.
 
Tundu Lissu ameshtukia kuna siasa za kuwalaghai watanzania.
Na watanzania wamekuwa wakidanganywa kwa muda mrefu sana na biashara ya siasa.

Masikitiko yangu ni kwamba, hata kama Lissu akishinda uchaguzi na Mbowe akiondoka, Lissu hatokuwa na watu wa kusaidiana nae. Kila mtu ndani ya hicho chama anawaza kula.

Kwa wale mliomsikia mpambe wa mwenyekiti bwana Boniyai, alisema wote tumekula na tunataka kula na kila mtu anakula muda wake ukifika. Tofauti na Lissu siasa zake sio za kuwaza kula, ni za harakati za kutetea wanyonge.
Sasa bado huoni tofauti iliyopo katika hayo uliyo andika hapa?

Hao wapambe wanao kula kwa kujuwa mkuu wao ndiyo mlaji mkuu;
Na Hawa wapambe "wapenda kula" wanaojuwa mkuu wao hagusiki na ulaji wanao upenda wao.

Wewe huoni tofauti kabisa kati ya makundi hayo mawili?
 
Back
Top Bottom