Nahisi amechukua hela ya ccm kuhakikisha Lisu hapati nafasi ya kugombea iwe uenyekiti, ama urais, sasa anashindwa kujua asimamie kwenye kuheshimu demokrasia na mabadiliko, ama asimamie vipande 30 vya fedha kutoka ccm. Safari hii Lisu amefanya move ya uhakika, ngoja ukweli ufahamike.Itakuwa ni aibu kubwa kwa Mbowe kujidhalilisha katika hatua hizi za mabadliko. Atajiondolea heshima aliyo jijengea huko siku za nyuma. Historia itamhukumu vibaya sana.
Hii nchi ina pesa aiseee.Kuna jamaa aliniambia ile siku Mbowe alikutana na Mama Abdul baada ya kutoka Magereza alipewa Bil. 20
Then akaja kupewa Bil. 10 na ziliwekwa kwny Private Account
Aliyeniambia ni Mtu wa karibu sana na Jamaa
Labda iwe Uzushi 🤣
Safari hii amegota pabaya.Mbowe amegeuka kuwa kama Lipumba. CUF imekuwa kama TLP. Mbowe anafanya kazi ya kuvuruga upinzani.
Lissu anafanya mageuzi ya kweli. Hata Mbowe aking'ang'ania madaraka ataishia kuwa kama Lipumba na watu watajua kuwa hakuwa mpinzani wa kweli bali ni ccm aliyejivika joho la upinzani ili kuuhadaa umma. Lipumba watu walipomshtukia kuwa ni mlagai wa kisiasa wakaikimbia CUF na ndicho kinachoenda kumtokea Mbowe.Biashara ya ubia Kati ya Mbowe na CCM Lisu anaenda kuiharibu muda Siyo mrefu. Mbowe ana muda mchache Sana wa kujitafakari na kuchukua hatua
Lissu kinachomuuma ni viongozi kuchukua pesa nyuma ya pazia. Anajua kabisa sugu ni mmoja wa waliochukua pesa alafu sasa hivi ndio mwenyekiti wa Kanda. Hapo kutakua na upinzani wa kweli? Hayo ndiyo yanamuumiza kichwa lissu. Mmechukua pesa mtawezaje tena kuwa wapinzani wa kweli?Sasa bado huoni tofauti iliyopo katika hayo uliyo andika hapa?
Hao wapambe wanao kula kwa kujuwa mkuu wao ndiyo mlaji mkuu;
Na Hawa wapambe "wapenda kula" wanaojuwa mkuu wao hagusiki na ulaji wanao upenda wao.
Wewe huoni tofauti kabisa kati ya makundi hayo mawili?
ACT NI NDOTO KUWA CHAMA KIKUUNaona history inazidi kujirudia. Hapo kale, NCCR Mageuzi kilikuwa chama kikuu cha upinzani. Kilidhoofishwa na kuporomoshwa na migogoro/mipasuko ya design hii. Baada ya hapo chama cha CUF kikalivaa hilo taji la chama kikuu cha upinzani. Kama vile watu wake hawakujifunza yale yaliyokiporomosha chama cha NCCR Mageuzi, nao hawakuweza kuyaepuka; CUF nayo ikaporomoka na hivi ninavyoandika (na wewe unaposoma) iko na inaendelea kuwa kwenye life support!
Kwa mwenendo huu wa CHADEMA, ACT Wazalendo hawana budi kujiandaa kukipokea kijiti cha chama kikuu cha upinzani. Siamini kama CHADEMA ni clever enough kuweza kuukwepa huu mkenge!
Nilipo waambieni mbowe ni muhuni na mpumbavu mkaniona natukanaMbowe amegeuka kuwa kama Lipumba. CUF imekuwa kama TLP. Mbowe anafanya kazi ya kuvuruga upinzani.
Wewe unakimbilia mbele kabla ya haya yaliyopo kutengemaa.Lissu kinachomuuma ni viongozi kuchukua pesa nyuma ya pazia. Anajua kabisa sugu ni mmoja wa waliochukua pesa alafu sasa hivi ndio mwenyekiti wa Kanda. Hapo kutakua na upinzani wa kweli? Hayo ndiyo yanamuumiza kichwa lissu. Mmechukua pesa mtawezaje tena kuwa wapinzani wa kweli?
Binafsi naomba waTanzania wanapo yaona na kuyasikia haya ya akina Mbowe; wasisahau chimbuko la matatizo linapo anzia.Nahisi amechukua hela ya ccm kuhakikisha Lisu hapati nafasi ya kugombea iwe uenyekiti, ama urais, sasa anashindwa kujua asimamie kwenye kuheshimu demokrasia na mabadiliko, ama asimamie vipande 30 vya fedha kutoka ccm. Safari hii Lisu amefanya move ya uhakika, ngoja ukweli ufahamike.
Kama sio ACT Wazalendo, ni chama gani kingine kinachoweza kupokea hicho kijiti?ACT NI NDOTO KUWA CHAMA KIKUU
Pesa za join the chain ziko wapi?Lisu ni mlugaluga tu hivyo ataondoka na walugaluga wenzake
Hahah kwa kweliKitabaki tu kuwa Kijiwe cha kunywea Mtori.
Yule hata ukimwangalia tu utajua ni msanii wa kisiasa wala si mpinzani na ndio maana ccm wanatetea abaki kuwa mwenyekiti kwa sababu ni kibaraka wao.Nilipo waambieni mbowe ni muhuni na mpumbavu mkaniona natukana
Hakuna kwa sasa labda watu wa jpm waamie chama chochote ndiyo kitakuwa na nguvu ...nao ni ngumu kuingia hivyo vyama kwa sababu ni vya kipumbavu bora wapambane kimya kimya ndani ya ccm hadi hatakapo kuja rais asiye MUISIHARAMU ndiyo nchi itapata tena mwangaza...kwa sababu genge lote la raia feki ni waislamu na vibaraka wao ambao ni raia kweli ni waislamu...kuna kikundi cha watanzania waislamu kinatumia na genge la Raia feki k7fisidi na kuhalibu nchiKama sio ACT Wazalendo, ni chama gani kingine kinachoweza kupokea hicho kijiti?
Na hayo ndiyo yanayo msukuma agombee uongozi wa chama; na siyo kuwa "wapinzani wa kweli", bali kuwa chama tawala kinacho fanya kazi kuwatumikia waTanzania kwa manufaa yao na nchi yao.Lissu kinachomuuma ni viongozi kuchukua pesa nyuma ya pazia. Anajua kabisa sugu ni mmoja wa waliochukua pesa alafu sasa hivi ndio mwenyekiti wa Kanda. Hapo kutakua na upinzani wa kweli? Hayo ndiyo yanamuumiza kichwa lissu. Mmechukua pesa mtawezaje tena kuwa wapinzani wa kweli?