Hela za Mama Abdul hela za Mama Abdul, ni Uhuni!

Hela za Mama Abdul hela za Mama Abdul, ni Uhuni!

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?

Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?

Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
 
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?

Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?

Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Bado hamjakubali matokeo tu? Uchaguzi umekwisha na sasa hivi ni utekelezaji wa azimio la mkutano mkuu la No Reform No Election. Mbowe mwenyewe hana maneno anaangalia watu aliowakabidhi chama wanavyotekeleza maazimio ya mkutano mkuu, huu uchochezi mnaoleta hauna nafasi.
 
Bado hamjakubali matokeo tu? Uchaguzi umekwisha na sasa hivi ni utekelezaji wa azimio la mkutano mkuu la No Reform No Election. Mbowe mwenyewe hana maneno anaangalia watu aliowakabidhi chama wanavyotekeleza maazimio ya mkutano mkuu, huu uchochezi mnaoleta hauna nafasi.
Hawa siyo Timu Mbowe (FAM), ni CCM wanahangaika
 
Kaingia madarakani hana cha kuongea tena,sasa watu wanamwangalia halafu na yeye anaangalia ili apate huruma,hana ushahidi yeye Lema,na Heche,wanaongea tu juu ya babu yao Wasira.Hawajui waongee nini kama viongozi
 
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?

Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?

Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
images (1).jpeg
 
Lissu ni mhuni tu,, muda utasema, ngoja aone mapicha picha ya uchaguzi akimbilie huko ubelgiji awaache na chama chenu ! Kwanza mabakuli ya michango yatapita mpaka mjambe, jamaa hana mzigo na pia hana circle ya watu wenye mzigo,,,, refer FAM kwa kina mzee Sabodo, Ndesamburo n.k
 
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?

Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?

Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Mbona unateseka? Lisu ndiye mwenyekiti
 
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?

Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?

Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
🚮🚮🚮
 
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?

Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?

Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Lisu ni muhuni mkubwa! Mwanasiasa niliyempnda sana tena sana. lakini kumbe ni hao hao wahuni wa iasa!

Narudia, it was not rigt aliyombagaza Mbowe kwa Uongo ili apate madaraka yasiyo na lolote (san sana mateso yanamsubiri)


View: https://youtu.be/rxUco3lnjq0
 
Alafu dizain kuna ile timu ya FAM ni kama wamejitenga hivi,hawaoneshi ushirikiano,,,wanamuangalia waone yeye Lissu na timu yake Heche na Lema wana jipya gani ?
Hapana, kwanza nakanusha uwepo wa kitu TEAM FAM. WE all are/were Chadema as a unity inseperable! Tatizo lilianzia pale Lisu alipompakazia UONGO MFAM na kutoka kwenye ustaarabu wa Chadema! Nilimdharau sana Lisu mpaka milele!
I am trying to imgine hali ingelikuaje kama Mbowe angelikuwa anaambatana na Lisu kumnadi/kumpeleka kwao Ikungi and the like!
Naombea Lisu ashindwe na alegee katika harakati za kuwabagaza wenzake.

Lisu ni mzuri kwa harakati, mengine hana sifa nayo. Let us wait and see!
 
Hapana, kwanza nakanusha uwepo wa kitu TEAM FAM. WE all are/were Chadema as a unity inseperable! Tatizo lilianzia pale Lisu alipompakazia UONGO MFAM na kutoka kwenye ustaarabu wa Chadema! Nilimdharau sana Lisu mpaka milele!
I am trying to imgine hali ingelikuaje kama Mbowe angelikuwa anaambatana na Lisu kumnadi/kumpeleka kwao Ikungi and the like!
Naombea Lisu ashindwe na alegee katika harakati za kuwabagaza wenzake.

Lisu ni mzuri kwa harakati, mengine hana sifa nayo. Let us wait and see!
Ukiambiwa utaje yale ambayo Lissu amempakazia uongo FAM wakati wa kamapeni unabaki kukasirika na kutoa maneno ya ovyo ovyo, umebaki mpiga kelele bila vielelezo.
 
Kumbe chadema kuna mafisadi.
Hata wewe ni fisadi mmeo akikuachia pesa ya mboga unaiba unapeleka kwenye mchezo

Ufisadi upo kila sehemu njia ya kuepuka ni kuwadhibiti wasipate uongozi na mamlaka ya kufanya maamuzi
 
Hata wewe ni fisadi mmeo akikuachia pesa ya mboga unaiba unapeleka kwenye mchezo

Ufisadi upo kila sehemu njia ya kuepuka ni kuwadhibiti wasipate uongozi na mamlaka ya kufanya maamuzi
Huna akili.
 
Lisu ni muhuni mkubwa! Mwanasiasa niliyempnda sana tena sana. lakini kumbe ni hao hao wahuni wa iasa!

Narudia, it was not rigt aliyombagaza Mbowe kwa Uongo ili apate madaraka yasiyo na lolote (san sana mateso yanamsubiri)


View: https://youtu.be/rxUco3lnjq0

Shida siasa ni mchezo mchafu sana. usimwamini mwana siasa yeyote linapokuja suala la kusaka madaraka
 
Back
Top Bottom