Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Mbona Lissu kapoa sana siku hizi kuhusu hizi hela?
Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?
Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?
Mimi nilijua akiingia madarakani atatuonyesha kwa Vitendo namna anavyochukia Rushwa kwa kuwachukulia hatua waliopokea ndani ya Chama au kaamua kuwasamehe?
Mbowe alisema Time will tell au muda ndiyo unasema sasa kuwa Lissu ni Muhuni alitumia tu gia hii kumchafua Mbowe ili aingie Madarakani?