Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
π€£π€£Haelewi maana ya unemployment rate, pia hizi taarifa hutolewa kwa mwaka.
Chini ni takwimu tokea 1991
View attachment 1877746
Duuh! Umeishiwa hoja!ππ
Yeye ni Kumbaru. Ila Sukuma Gang wamelogwa kwenye rangi hizoSamia yeye siyo Sukuma Gang?
Uwe na adabu.wewe hata ukwaju hujawahi uza.utajuaje kama hela ziliadimika??Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Wewe unauza nini? Tako?Uwe na adabu.wewe hata ukwaju hujawahi uza.utajuaje kama hela ziliadimika??
Ndo akili zako zimeishia hapo??nauza mbunyeWewe unauza nini? Tako?
Naona hela zinatiririka kwa bavicha[emoji23][emoji23][emoji23]Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Mbunye yako tamu?Ndo akili zako zimeishia hapo??nauza mbunye
Ndugu yangu, mwanadamu huwa haridhiki na always hanaga jema. Jifunze kwa safari ya wana waisrael Jangwani, kila walichokuwa wanakitaka, Mungu alkuwa anawapa, lakini mwishoe wakaishia kutengeneza sanamu ya ndama awe mungu wao, chezea mwanadamu wew. Always do the right things, watakukumbuka katika hayo.Magufuli anatekeleza sera za Chadema .....huyu hafai hela zote anapeleka kwenye miradi, miradi yenyewe hasara tupu! Sasa ndege nani atapanda! Alafu analipa cash, si angekopa tu! Stendi ya mbezi ni ovyo italeta foleni kubwa! Magufuli ni dikteta amekataza siasa! Flyovers zipo Kenya zile za Magufuli hamna kitu!
Haya mzee wa watu kapumzika, shangwe likaibuka, kwisha Mataga, Sukuma gang watakoma! Mama achana na miradi ya Magufuli haina maana! Mama anaupiga mwingi! Mama anafungua uchumi! Sasa nchi inapumua, tuko huru kukosoa na kufanya siasa.
Sasa hivi, tuone mataga na sukuma gang wakisema Mama anaupiga mwingi ni block tu, Mama ni dikteta wa kike! Hata Magufuli hakuwahi kutufungulia mashtaka ya ugaidi! Huyu Mama ndio atakuwa the worst President ever!
Dah! Haya maneno yote yanasemwa na watu wale wale!
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa π, tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi π.
unalazimisha tu, angalia namba moja hapo juuMzunguko upo na hakuna anayelalamika kuchangia hizo TOZO
tunachotaka ni AMANI Mama yetu kairudisha ndio maana hata humu JF watu hatuandamwi tena
Bado Mitaani hata Vyama vya upinzani vina nyodo sasa
Wakati wa Mwendazake hao wanaoandamana wangethubutu
Bora Mwendazake kaondoka na sukumagang yake
mkiwa hamna hoja mnaanza na matusi!!!! halafu unajipa faraja ya moyo kama unayoongea ni kweliMbona siku hizi umekuwa na mawazo ya kipumbavu sana? Kuna wakati nilikuwa nakuona a great thinker kwelikweli...lakini siku hizi.. mhuu..
Kwa taarifa yako,huku hela zimeanza kuongezeka mitaani. Benki zimeongeza utoaji mikopo,riba zimepunguzwa na serikali imeongeza spending kwenye infrastructure. Rudi nyumbani kumenoga.
Kwani hujamsikia waziri wa fedha ndugu Mwigulu?Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Source: usiwe umejipikia dataMkuu unaelewa maana ya unemployment rate? Anyway, nakusaidia angalia takwimu hapa tokea mwaka 1991 then utapata majibu
View attachment 1877745
Wewe utakuwa mataga au sukuma gang posts zako nyingi za karibuni unamshambulia Samia sawa nae ana mapungufu yake kama binadamu.Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].
Kwa wakulima wa ufuta kuna mabadiliko msimu huu umenunuliwa kwa bei mzuri na malipo ndani ya wiki moja, Mbaazi nazo zinanunuliwa kwa kasi haijatokea kwa misimu mitano iliyopita, kwa sasa zimefikia zaidi ya 1000 kwa kilo kutoka 200 ya nyuma, pia choroko, dengu, na kunde bei zimechangamka na walau imerejesha hali fulani ya kipesa mtaani hasa mikoa ya kusini.Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.
Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu.
Vipato vya wananchi wake ni vya chini sana. Si nchi nyingi ambazo nchi yetu imezipita kwa vipato vya wananchi.
Na tumekuwa nchi ambayo wananchi wake ni wa kipato cha chini tokea tuwe taifa na nina uhakika kabla hata ya kuwa taifa.
Lakini katika utawala uliopita tuliaminishwa mzunguko wa hela umebanwa na hivyo kupelekea kutokea upungufu wake mtaani/ mitaani.
Baada ya kumpata huyu Rais wetu mpya, aliye mpole na msikivu, mwenye kuongea Kiingereza kizuri kabisa [emoji6], tukaambiwa sasa mzunguko wa hela utarudi na hela zitakuwepo mtaani kama ilivyokuwa kabla ya kuja kwa dikteta Magufuli!
Sasa niaje raia? Mama kesharudisha hayo mahela mitaani?
Kama hayo mahela yamesharudi mitaani kwa nini mnalialia kuhusu vijitozo vya shilingi 100 mtumapo hela kwenye Em Pesa?
Kwa mnaojua hayo mahela yalipo, msiwe wachoyo. Tauambieni na sie wengine tuje tuyaokote bana.
Vilivyo vizuri kuleni na sie ndugu zenu.
Tuendelee kuupiga mwingi [emoji6].