Hela zimesharudi mtaani?

Hela zimesharudi mtaani?

Magufuli anatekeleza sera za Chadema .....huyu hafai hela zote anapeleka kwenye miradi, miradi yenyewe hasara tupu! Sasa ndege nani atapanda! Alafu analipa cash, si angekopa tu! Stendi ya mbezi ni ovyo italeta foleni kubwa! Magufuli ni dikteta amekataza siasa! Flyovers zipo Kenya zile za Magufuli hamna kitu...
But….some of us saw this coming!

That’s why they say patience is a virtue!
 
Ukweli ni kuwa, mzunguko umekuwa mdogo zaidi kuliko hata kipindi cha JPM.

Hii ni kutokana na kupanda kwa bei ya bidhaa na huduma. Mambo yamekuwa magumu zaidi.

Hakuna hela yeyote.
Na bado subiri ikifike oktoba ndio utaona kila rangi..

Wademkaji wake nashangaa mnamgeuka
 
Magufuli anatekeleza sera za Chadema .....huyu hafai hela zote anapeleka kwenye miradi, miradi yenyewe hasara tupu! Sasa ndege nani atapanda! Alafu analipa cash, si angekopa tu! Stendi ya mbezi ni ovyo italeta foleni kubwa! Magufuli ni dikteta amekataza siasa! Flyovers zipo Kenya zile za Magufuli hamna kitu...
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Malisa bado anatoa vile vi makala vyake vya kumsifia mama?
 
Moja ya malalamiko ya kipumbavu kabisa yaliyokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli ni kuwa eti hela hazikuwepo mtaani.

Sijui ni lini hasa Tanzania hii ambapo hela zilikuwepo bwerere mtaani! Kwa sababu, Tanzania ni nchi maskini. Ni nchi ya ulimwengu wa tatu...
Akili za kijinga kabisa zilikuwa,Sasa hayupo hizo pesa zipo wapi, mikitu imekalisha... Kijiweni kutwa haifanyi kazi ukiigusw t inakwambia huyu Magufuli kaficha pesa.

Nakumbusha tu Magu aliacha Bei ya Diesel sh 1750,hakikuwa na tozo za line wala ongezeko ktk miamala.
 
Nasikia mabavicha yanaokota magunia kwa magunia kila siku

[emoji23][emoji23][emoji23]
Walisema hatumuwekei Mbowe dhamana! Wamtoe wenyewe! Wanambembeleza atoke! Ghafla nasikia wapo mahakani kupinga mashtaka ya ugaidi!

Seems ni maamuzi ya mtu tu otherwise kungekuwa na mkakati endelevu. Hata hili la katiba litajifia lenyewe sababu ya namna lilivyobebwa.
 
Zitoke wapi, hali imekuwa mbaya zaidi kila kitu kimepanda Bei tena ndani ya miezi yake mitatu
Huyu bibi amalize muda wake aende
 
Hela zipo angalau watu sasa wanajenga, nendeni site huko mkaone mijengo ya maana, we kutwa upo mtandaoni kuanzisha vi thred uchwara utabaki kama ulivyo kuwa chawa tu,

Mama anaupiga mwingi
Huu ujinga umesomea au umerithi? Serikali yenyewe imekiri imeweka tozo kwa kuwa hawana pesa na wakaenda mbali na kusema kama hatutaki tozo tuwaeleze pesa watazipata wapi.
 
Walisema hatumuwekei Mbowe dhamana! Wamtoe wenyewe! Wanambembeleza atoke! Ghafla nasikia wapo mahakani kupinga mashtaka ya ugaidi!

Seems ni maamuzi ya mtu tu otherwise kungekuwa na mkakati endelevu. Hata hili la katiba litajifia lenyewe sababu ya namna lilivyobebwa.
Lisu yeye yuko kwa amsterdam alafu anamwambie mwenzie akae tu jela!

Chadema iliondoka na Slaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Malisa bado anatoa vile vi makala vyake vya kumsifia mama?
Sijui maana alishanipiga block kitambo , imagine mtu anatembeza block kwasababu ya hoja kinzani hapo hawezi kuamrisha Polisi! Hilo sikutegemea kabisa kwa mtu wa aina yake! Baada ya hapo nikala [emoji724] ya Jasusi Chahali [emoji38]
 
Hela zipo angalau watu sasa wanajenga, nendeni site huko mkaone mijengo ya maana, we kutwa upo mtandaoni kuanzisha vi thred uchwara utabaki kama ulivyo kuwa chawa tu,

Mama anaupiga mwingi
Mijengo ndani ya miezi minne

Hizi za wizi
 
Sijui maana alishanipiga block kitambo , imagine mtu anatembeza block kwasababu ya hoja kinzani hapo hawezi kuamrisha Polisi! Hilo sikutegemea kabisa kwa mtu wa aina yake! Baada ya hapo nikala [emoji724] ya Jasusi Chahali [emoji38]
Hahhaha
 
Huu ujinga umesomea au umerithi? Serikali yenyewe imekiri imeweka tozo kwa kuwa hawana pesa na wakaenda mbali na kusema kama hatutaki tozo tuwaeleze pesa watazipata wapi.
Kama umemuelewa anamaanisha michongo iliyokuwa imefinywa sasa iko open, wenye 'akili' zao wanazitengeza na projects zao zinaenda vyema.
Read between the lines.
 
Kama umemuelewa anamaanisha michongo iliyokuwa imefinya sasa iko open, wenye 'akili' zao wanazitengeza na projects zao zinaenda vyema.
Read between the lines.
Sasa hapa unazungumziwa mtaa ambao wengi hawana hiyo access ya michongo ya serikali
Pia jua hao wenye hiyo michongo hata kipindi Cha Magufuli waliokuwepo na walipiga pesa (rejea report ya CAG)
 
Sijui maana alishanipiga block kitambo , imagine mtu anatembeza block kwasababu ya hoja kinzani hapo hawezi kuamrisha Polisi! Hilo sikutegemea kabisa kwa mtu wa aina yake! Baada ya hapo nikala [emoji724] ya Jasusi Chahali [emoji38]
Shida ilianzia pale mama Samia aliposema "huko mbeleni nitateua hata wapinzani".

Sasa bana akaiweka hiyo taarifa kwenye page yake, wafuasi wake wakaanza kumjaza kuwa lazima ateuliwe kwenye ukuu wa wilaya, comments zaidi ya 300 zinamuambia lazima uwepo.

Nikaanza kuona anamimina sifa kwelikweli kwa Mama Samia.

Mkeka ulipotoka, naona kapiga u-turn
 
Back
Top Bottom