Helicopter ya CHADEMA Imeisha muda wake kutumika

Helicopter ya CHADEMA Imeisha muda wake kutumika

mapessa

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
664
Reaction score
1,168
Katika pita pita zangu mtandaoni nimeona comments ya mdau katika post ya Lema inasomeka hivi.

Mangi naomba kukumbusha usajili wa hii chopa umeshaexpire. Fanyeni renewal yasije kutokea majanga mkalaumu watu. Halafu hii chopa ilipata usajili kubeba wagonjwa. Mmebadili? Then kwa nini kila biashara mnawapa watu wa Moshi. Hii chopa iko operated na Kili Medi ya Moshi town. Kila la heri!

Jamaa ameambatanisha na ushahidi juu.
ce2d4d93-3fe3-4301-a4db-7fcca28d473c.jpeg
a6492b97-b0e4-40b9-b988-6739387fd020.jpeg
161881e6-965a-446a-9ec2-52072789682d.jpeg
eec2965a-5a53-4fa1-a00a-dbd87859b304.jpeg
 
Katika pita pita zangu mtandaoni nimeona comments ya mdau katika post ya Lema inasomeka hivi.

Mangi naomba kukumbusha usajili wa hii chopa umeshaexpire. Fanyeni renewal yasije kutokea majanga mkalaumu watu. Halafu hii chopa ilipata usajili kubeba wagonjwa. Mmebadili? Then kwa nini kila biashara mnawapa watu wa Moshi. Hii chopa iko operated na Kili Medi ya Moshi town. Kila la heri!

Jamaa ameambatanisha na ushahidi juu.
Wanakodisha so owner ndie ana deal nayo, how ever hakuna helicopter inayo expire, sema licence. Helicopter zinapitwa na wakati tu
 
Katika pita pita zangu mtandaoni nimeona comments ya mdau katika post ya Lema inasomeka hivi.

Mangi naomba kukumbusha usajili wa hii chopa umeshaexpire. Fanyeni renewal yasije kutokea majanga mkalaumu watu. Halafu hii chopa ilipata usajili kubeba wagonjwa. Mmebadili? Then kwa nini kila biashara mnawapa watu wa Moshi. Hii chopa iko operated na Kili Medi ya Moshi town. Kila la heri!

Jamaa ameambatanisha na ushahidi juu.
R.I.P Mzee Ndesa pesa!
 
Katika pita pita zangu mtandaoni nimeona comments ya mdau katika post ya Lema inasomeka hivi.

Mangi naomba kukumbusha usajili wa hii chopa umeshaexpire. Fanyeni renewal yasije kutokea majanga mkalaumu watu. Halafu hii chopa ilipata usajili kubeba wagonjwa. Mmebadili? Then kwa nini kila biashara mnawapa watu wa Moshi. Hii chopa iko operated na Kili Medi ya Moshi town. Kila la heri!

Jamaa ameambatanisha na ushahidi juu.
#kataauchawa
 
Chadema muwe mnasikiliza ushauri
Hili la helicopter acheni kusafiri nalo

Ni nini hamuelewi ?

Msiseme hatukuwaambia
Lissu sikia hili haliko sawa
Soma alama za nyakati
Ndani mwenu kunachemka mnajibebesha nyie haya
 
Chadema muwe mnasikiliza ushauri
Hili la helicopter acheni kusafiri nalo

Ni nini hamuelewi ?

Msiseme hatukuwaambia
Lissu sikia hili haliko sawa
Soma alama za nyakati
Ndani mwenu kunachemka mnajibebesha nyie haya
Sasa mbowe atazipigaje pesa za chama?
 
Back
Top Bottom