Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Huwezi shinda vita kwa kutumia anga tu,ndiyo maana israel kaweka wanajeshi 80k kaskazini anakopakana na lebanon licha ya kubomoa majumba kwa ndege
Nani kasema unashinda vita kwa kutumia anga tu?

Anga unaitumia ku neutralize vilivyopo ardhini halafu ndo unaingiza askari wa miguu.

Hii ni common sense tu mbona!

Air superiority ni muhimu sana katika vita.

Ukitawala anga basi chances za wewe kushinda vita ni kubwa sana.
 
infantry remains a vital part of modern warfare.

You can not hold ground bila infantry.

Zunguka pote, lakini ili ummalize adui lazima ushuke upambane naye chini.

Nakubali airpower itatumuka kumshambulia adui, lakini itasaidia kumpunguza nguvu,pia kwenye close air support, lakini ili umkabili adui vyema lazima ushuke chini.

Sote tunajua hapo Labanon Hezbollah wana tunnels zipo complex na zinakwenda sehemu nyingi katika hio nchi, wakati huo Israel anasema anataka kuwamaliza na kuwashinda Hezbollah, atawezaje pasipo kushuka chini kupambana nao ardhini?


Dunia sasa imebadilika, zile drone Israel alikuwa nazo miaka hio, hivi sasa Iran anatengeneza na kuwapa proxies wake, hivi sasa drones militias wengi tu wanazo.

Hio tech hakuna upekee tena, ndio maana umesikia juzi hapa Hezbollah kapiga askari wa Israel wanakula dinner kwemye kambi ya jeshi.

Israel akirusha F16s na ye Hezbollah anarusha hizo kamikaze drones, drones pia tunaweka upande wa silaha za anga.

Hivyo Israel wajitafakari, kama ardhini ni mdebwedo waachane na vita.
Yote uliyosema ni common sense tu mbona!

Unatumia kwanza anga. Baada ya hapo unaingia ardhini kulingana na malengo uliyojiwekea.

Vita vya kumtoa Saddam toka Kuwait vilianzia angani halafu baadaye ndo shughuli ya ardhini ikafuata.

Vivyo hivyo, vita dhidi ya Iraq ya 2003 ilianzia angani pia halafu baadaye ndo askari wa ardhini ndo wakaingia Iraq.

Au wewe unachotaka kuona ni askari wa IDF wakiingia Lebanon kichwa kichwa tu bila wana anga kufanya vitu vyao kwanza?

Huo utakuwa ni ujuha wa mwisho kabisa.

Hii siyo vita ya Banyamulenge na jeshi la Mobutu 🤣.

Vitani ni lazima uwe realistic. La sivyo mtafyekwa kama sisimizi.

Halafu, vitani ni lazima kutakuwa na casualties tu. Hilo haliepukiki na ni kwa pande zote.

Hakuna vita ambayo wanaokufa wanakuwa ni wa upande mmoja tu.

Hivyo, hata kama askari wa IDF watakufa, mwisho mshindi wa vita atakuwa ni IDF tu.

Hata Marekani walipoteza maelfu ya askari kwenye vita dhidi ya Iraq.

Lakini guess what? Walishinda vita.

Ni expectations za kijinga na kijuha kudhani kwamba baadhi ya majeshi askari wao hawawezi kufa vitani kisa tu eti wana superior military.

Lengo la vita huwa nalifananisha na boxing. Aim ya boxing ni to hit and not get hit.

Vivyo hivyo, vitani, lengo ni kuua na wewe kuepuka kuuliwa.

Lakini vilevile, inabidi uwe realistic. Kama ilivyo kwenye boxing, hata ukishinda kwa knockout, tuseme kwenye raundi ya 6, hiyo haina maana wewe hukupigwa ngumi hata moja na mpinzani wako.

Unaweza kushinda kwa knockout lakini nawe ukawa umetolewa nundu usoni.

Lengo la kutumia air superiority ni kurahisisha kazi ya jeshi la ardhini katika kupunguza risk.

Just simple, basic common sense ambayo hata mtu kama mimi nisiye na training yoyote ile katika military and warfare strategy, ninaiona ina make sense.
 
Nani kasema unashinda vita kwa kutumia anga tu?

Anga unaitumia ku neutralize vilivyopo ardhini halafu ndo unaingiza askari wa miguu.

Hii ni common sense tu mbona!

Air superiority ni muhimu sana katika vita.

Ukitawala anga basi chances za wewe kushinda vita ni kubwa sana.
Well-Said!!!!!
 
Israel anapoteza wanajeshi wake kwa kumsikiliza USA kuwa anampa vifaa vya ulinzi ni ujinga angeachana na hiyo vita hao Hezbollah ni kama Boko haramu tu wanamgambo sita wanaangamiza Kambi ya Kijeshi.
 
Back
Top Bottom