Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Mwanajeshi yuko vitani huku mawazo yako kwenye maaandalizi ya SEND-OFF unafikiri anaweza kushika bunduki vizuri.MAANA MDA MWINGI ANAWAZA MAWIFI WATAMLETEA ZAWADI GANI 😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Ukiwa jamii forum unaweza kuwaonea huruma sana Israel ila ukienda al Jazeera unatamani Israel ashitakiwe kwa ukatili anaowafanyia Hezbollah na magaidi yote sasa sijui hizi taarifa mnazitoaga wapi😂😂😂😂
Tofautisha raia na wapiganaji.
Ukienda Aljazeera utaona raia wanawake kwa watoto na wazee wakiteseka kwa kulipuliwa makazi.
Ila ukifuatilia utakuta Israel wanauliwa wanajeshi na kuumizwa wanajeshi.
Ila unaonekana una tuakili tudogo za uelewa.
 
Nani ni bingwa wa ardhini?

Halafu ni weupe kivipi? Nani kawahi kuivamia Israel na akafanikiwa?
Vita ya 2006 Israel alipigwa je unalijua hilo!?
Vita ya Yomkippur Misri alimshinda Israel kwa vita ya ardhini hadi akakimbilia airforce au unabisha!?
Hapo middle east hakuna anayewaeza waarabu kwa guirella war.
 
Tofautisha raia na wapiganaji.
Ukienda Aljazeera utaona raia wanawake kwa watoto na wazee wakiteseka kwa kulipuliwa makazi.
Ila ukifuatilia utakuta Israel wanauliwa wanajeshi na kuumizwa wanajeshi.
Ila unaonekana una tuakili tudogo za uelewa.

Tukiweka ushabiki pembeni, yanayoendelea huko yanasikitisha sana
 
Tofautisha raia na wapiganaji.
Ukienda Aljazeera utaona raia wanawake kwa watoto na wazee wakiteseka kwa kulipuliwa makazi.
Ila ukifuatilia utakuta Israel wanauliwa wanajeshi na kuumizwa wanajeshi.
Ila unaonekana una tuakili tudogo za uelewa.
Kwahyo we kwa akili zako kubwa unahisi mpaka leo Israel hajawahi kuua Hezbollah hata mmoja ? Au ulishawahi kusikia mpaka leo ni magaidi wa ngapi wa Hezbollah wamekufa? Kuwa na akili ukiongea na watu wazima
 
Sikatai yanasikitisha sana.
Ila kiuhalisia Israel inalenga raia kimakusudi.
Iache kulenga raia ipambane na wapiganaji.

Wanatenganishaje? Kombora likidondoka halijui nani raia nani mpiganaji.

Vita yoyote ile ni kumtukuza shetani na mambo yake
 
Kwahyo we kwa akili zako kubwa unahisi mpaka leo Israel hajawahi kuua Hezbollah hata mmoja ? Au ulishawahi kusikia mpaka leo ni magaidi wa ngapi wa Hezbollah wamekufa? Kuwa na akili ukiongea na watu wazima
Nina akili na utu uzima kuliko wewe.
Umeelewa kwanini nimekujibu hivyo!?
Hata kusoma kwa umakini na utuo hujui.
Haikataliki kuwa Israel imeua wanamgambo ila kwa kiasi kikubwa imefanya mashambulizi kwa raia wa kawaida kuliko wanamgambo.
Matukio yao yote ya uviziaji kuua makamanda na viongozi waandamizi wa Hizbollah.
Ila hayo unaoyaona huko Al-Jazeera ni mauaji ya raia wa kawaida.
Sijui hapo umenielewa!??
 
Sasa Hezbollah wanajificha kwa raia Israel afanyaje?
 
Sasa Hezbollah wanajificha kwa raia Israel afanyaje?
Una ushahidi kaka kama Hizbollah wanajificha kwa raia!?
Naomba upimie haya matukio.
1)Mwezi June IDF ililipua gari la waandishi wa habari ikiwemo wazungu wakiwa eneo la mpakani na Lebanon wakiripoti habari nje na mapigano.
2) Mwanzoni mwa 2024 IDF iliwafyatulia risasi kwa sniper kinamama wanne wakiwa kanisani,zingatia sniper ambaye lazima apime target ndio afyatue.
3)Mwanzoni mwa 2024 IDF ililipua nyumba ya French embassy Official West bank na ikamuua.
4)Mwaka huu huu 2024 IDF iliua raia wake wanne ambao walikua mateka waliotoroka Hamas wakiwa wamenyoosha mikono wakiwa tumbo wazi wakiomba msaada tena wakiwa metre chache na hao wanajeshi.
Nakuomba halafu useme je ni kwelii madai ya IDF kuhusu Hizbollah kujificha nyuma ya raia ni sahihi!??
 
Yahaya sinwar kwishineiiiiiiiiii@ritz
 

Attachments

  • Screenshot_20241017_162836_Samsung Internet.jpg
    279.1 KB · Views: 2
Haya sasa muda huu al Jazeera wanasema kuna uwezekano mkubwa yahya sinwar kiongozi wa hamas akawa amekufa baada ya Israel kushambulia kwenye kambi ya wakimbizi ya jabalia sasa huoni kuwa hawa jamaa wanatabia ya kujificha kwa raia
 
Haya sasa muda huu al Jazeera wanasema kuna uwezekano mkubwa yahya sinwar kiongozi wa hamas akawa amekufa baada ya Israel kushambulia kwenye kambi ya wakimbizi ya jabalia sasa huoni kuwa hawa jamaa wanatabia ya kujificha kwa raia
Yahya Sinwar sio mpiganaji ni POLITICAL LEADER wa Hamas.
Hamas ni chama kama ilivyo PLO.
Na Yahya Sinwar hahusiki na upiganaji,wanaohusika na upiganaji ni Al qassam.
Yahya ni mwanasiasa wa Hamas na ukumbuke Hamas inaiongoza Gaza kisiasa na kiuchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…