Helikopta ya 10 ya kijeshi ilitua katika Hospitali ya Sheba-Tel Hashomer, ikiwa imebeba wanajeshi na maafisa waliofariki na kujeruhiwa katika mapigano

Infantry ni ngumu sana
Hasa unapoingia territory ya watu wengine..Israel inapigwa sana wanajeshi wake wanakufa sana hata pale juzi walipomuua Sinwar kundi kubwa liliuwawa ila wao hawasemi hilo wanaficha sana..
Faida ya kuficha unadhani ni nini?
Kama wanapigwa sana ardhini mbona hamuwafagii mpaka tel aviv? Acha kujifariji ustaadh uzuri mnachomoka ....na sasa hivi tunaeliminate leaders tu! Wanaolisha wenzao matango pori huku wao wakiishi mapangoni
 

Attachments

  • 20241019_164537.jpg
    274.4 KB · Views: 1
Wajinga na wapumbavu wamepewa uhuru wa kujieleza lakini wao sasa wamepitiliza na imeshakuwa fujo sasa ajaribu sasa kwenda nchi zingine akafanye Ujinga huo kama hatatolewa Manundu!!!
Mbona umepanic mkuu ,we inaonyesha ni dictator ww Uhuru wa kujieleza hutaki
 
Israel wakipigwa kombora utasikia limetua vichakani,majeruhi madogo,lakini raia laki mbili wamehamishwa mpakani na hizbullah
Hao waliamishwa Tangu mwaka Jana.
Kutoka na rocket za Hezbollah.
North Israel Kuna watu wachache sana. Ni kama south lebanon
 
🤣🤣🤣

Your browser is not able to display this video.
 
Unatafuta Basha kwa nguvu bahati mbaya mimi na wasenge mbali mbali.
Wewe bwege tu! Ukiona mtu anaongelea sana ushoga ushoga ujue yeye ndo shoga na anautangaza! Akili yenyewe kisoda unaleta vipicha vya propaganda unaacha link kabisa ndo maana nimekuumbua hiyo picha ilipigŵa tarehe ngapi?
 
Wewe bwege tu! Ukiona mtu anaongelea sana ushoga ushoga ujue yeye ndo shoga na anautangaza! Akili yenyewe kisoda unaleta vipicha vya propaganda unaacha link kabisa ndo maana nimekuumbua hiyo picha ilipigŵa tarehe ngapi?
Hahahah eti umeniumbua yaani mimi nisumbuke na shoga kama wewe😂 unaniletea mipasho JF kuna vutuko huyu shoga naye anasema kaniumbua😀
 
⚡️Yedioth Ahronoth newspaper:

For the first time since its establishment, the occupation army is repairing damaged tanks and vehicles at private companies.

These vehicles used to be repaired at the army's maintenance center, but the army resorted to private companies due to the large number of tanks and vehicles damaged as a result of the resistance targeting them in #Gaza and #Lebanon.
 
Wewe bwege tu! Ukiona mtu anaongelea sana ushoga ushoga ujue yeye ndo shoga na anautangaza! Akili yenyewe kisoda unaleta vipicha vya propaganda unaacha link kabisa ndo maana nimekuumbua hiyo picha ilipigŵa tarehe ngapi?
😂😂😂 Ukiona taarifa hijatangwazwa Al Jazeera ujue ni uhongo maana Al Jazeera wapo mstari wa mbele kieleza maovu ya Israel tuu. Na mabaya wanayoyaoata kutokana na vita.
 
😂😂😂 Ukiona taarifa hijatangwazwa Al Jazeera ujue ni uhongo maana Al Jazeera wapo mstari wa mbele kieleza maovu ya Israel tuu. Na mabaya wanayoyaoata kutokana na vita.
Hivi una habari kama Al-Jazeera wamekuwa banned ndani ya Israel na Palestina!??
Hizo taarifa wanazitoa wapi kwasasa!?
Al-Jazeera kipindi hiki taarifa za Israel wanazipata kwa kuibia ibia sanaaaa tena saanaa.
Maana vituo vyao Israel wamevivamia Israel na Palestina.
Na ukigundulika ndani ya Israel wewe mwanahabari wa Al-Jazeera kinaweza kukupata kama cha Sheriin Abu Akleh.
 
Hayo mapunguani yanajua nini zaidi ya ushabiki mandazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…