Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
Siku moja kabla!? 😅Hiyo moja inatosha mradi taarifa za moto zitolewe kabla ya moto kuanza ili iweze kufika haraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja kabla!? 😅Hiyo moja inatosha mradi taarifa za moto zitolewe kabla ya moto kuanza ili iweze kufika haraka.
Mbona umecheka [emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Acha tu mkuu, aliyetuloga alitumaliza kabisaWaTz milioni 60, tunaokatwa tozo Takriban bilioni 200 kwa mwezi, hadi leo tunaongelea kununua helicopter ya kwanza ya zimamoto isiyozidi bilioni 1 au 1.5, hivi sisi wakati tunarogwa tulikuwa uchi au?
Aibu sanaWaTz milioni 60, tunaokatwa tozo Takriban bilioni 200 kwa mwezi, hadi leo tunaongelea kununua helicopter ya kwanza ya zimamoto isiyozidi bilioni 1 au 1.5, hivi sisi wakati tunarogwa tulikuwa uchi au?
Sawa sawa, ndivyo tunavyowahimiza wananchi ili kusiwe na malalamiko ya uchelewaji.Siku moja kabla!? 😅
Duh!...hii kali aisee....🙄🙄🙄Hiyo moja inatosha mradi taarifa za moto zitolewe kabla ya moto kuanza ili iweze kufika haraka.
Kumbe hukumwelewa mchangiaji!kabla ya moto kuanza😁😁.
hii logic ya kufikiri namna hii utaipata UVCCM na bungeni kwa tulia tu.
kama ni katika namna ya kumng’ong’a waziri basi nimeelewa,😂😂😂.Kumbe hukumwelewa mchangiaji!
Watu kwenye mambo yenye utata, hutoa hoja tata pia.
Kwa kauli ya moja kwa moja isiyo na utata, mchangiaji kamaanisha kuwa, helkopta moja haiwezi kuwa ni msaada kwa nchi kubwa kama hii, maana majanga ama dharula huwa hazipigi hodi ama kufanyiwa maandalizi.
Kuna faida gani ya kukopa dollar billion 1 halafu wanaenda kujishtaki wenyewe ICSID halafu pesa yote wanairudisha huko huko na riba juuTulia basi ndugu yangu bajeti yenyewe aslimia 30% tukakope tupewe msaada kama tozo zinatosha si tungeanzia huko
Tupongeze kwa hatua tunazopiga hata kama tumechelewa ila bado taifa litaendelea kuwepo watafaidi kizazi hiki na kinachokuja tuweke msingi wa uchumi huru sasa.
Unachokisema ni kweli, lakini bado mazingira wezeshi ni changamoto, sera zilizopo sio rafiki sana kwa mtu wa chini, hasa anaetoka familia maskini. Kwa mfano unaweza kulima lakini mpaka upate soko la kimataifa ni ishu, lakin Viongozi wetu baadhi wanaojihusisha na kilimo wanamasoko ya Uhakika nje, wana foundation, wana connections, Vya kuifanyia nchi vipo vingi lakini je mazingira wezeshi yapo?Tumia uwezo wako au hao waliokuwa hawana uwezo bado hawana excuse kwa kuwa fursa zipo nyingi mfano mo dewji na bakhresa wanalitendea haki taifa lao kwa kujiendeleza wao na kuajiri maelfj ya watanzania na kulipa kodi ili huduma za kijamii zipatikane kwa hio uwezo wako akili yako kubwa bado unaweza kuitumia vizuri kusaidia jamii ya kitanzania bila kuwa na uongozi wa kisiasa alisema jf.kennedy jiulize unaifanyia nini nchi yako na sio ncho yako inakufanyia nini ila sisi tunataka tu au sana nchi itufanyie tubadili hizi mindset.
Duuuh,kabla ya moto kuanza ?Hiyo moja inatosha mradi taarifa za moto zitolewe kabla ya moto kuanza ili iweze kufika haraka.
Bora wewe ,maana mm nimecheka tuukabla ya moto kuanza[emoji16][emoji16].
hii logic ya kufikiri namna hii utaipata UVCCM na bungeni kwa tulia tu.
Majibu ya Madalali na vijana inaowafuga umeyaona ndugu. ?Duuuh,kabla ya moto kuanza ?
Nazungumzia tuwapongeze kwa kupata hio chopper shida ni umasikini wa pato la taifa ndio maana imechelewa kupatikana na hili lipodhahiri kwenye bajeti yetu ni walau 30% kila bajeti ya mwaka inabidi to borrow hatuko self sufficient yeyote atakayefanikisha hili atakuwa ametusaidia sana sana kutoka ktk hii vicious cycle nq kupata uhuru wa kujipangia na kutekeleza shughuli zetu zote wenyewe.Kuna faida gani ya kukopa dollar billion 1 halafu wanaenda kujishtaki wenyewe ICSID halafu pesa yote wanairudisha huko huko na riba juu
Moto wenyewe wanausababisha waoHiyo moja inatosha mradi taarifa za moto zitolewe kabla ya moto kuanza ili iweze kufika haraka.
Ni kweli lakini bado jukumu tunalo lazima tujiendeleze na kutumia fursa hizo pata picha miaka hiyo 1800 zama hizjo akina Alhaj Dantata babu wa babu wa Aliko Dangote alikuwa tajiri mfanyabiashara mkubwa kipindi hicho kulikuwa hali haiko kama sasa alitumia fursa vizuri na pia fursa huonekana kwenye macho ya yule aionaye mfano Mengi marehemu aliona fursa ya biashara ya kutajirika basi amehusle amekuwa hivyo ila changamoto ya watu wetu wengi ni walalamishi japo sio wote akili zao zinaona matatizo tu wanaweza kuzungukwa na mto mkubwa wa maji lakini juu hapo vijiji vinanjaa tunahitaji kusugua bongo na maarifa tuyakabili haya maisha with or without help ya serikali kwani maisha ni yetu na tutahukumiwa na jamii jinsi tutakavyoyaishi. Ikiwa ombaomba tu walishawahi pewa mikopo ya dola 5 hadi 10 na kufanya biashara hadi kuacha kuwa omba omba basi vijana watu wazima wasomi wasio wasomi wanaweza kabisa kuanzisha vitu kupitia uwezo wao na hicho kidogo na kufika mbali tukibadili mindset hata Mbuyu ulianza kama mchicha.Unachokisema ni kweli, lakini bado mazingira wezeshi ni changamoto, sera zilizopo sio rafiki sana kwa mtu wa chini, hasa anaetoka familia maskini. Kwa mfano unaweza kulima lakini mpaka upate soko la kimataifa ni ishu, lakin Viongozi wetu baadhi wanaojihusisha na kilimo wanamasoko ya Uhakika nje, wana foundation, wana connections, Vya kuifanyia nchi vipo vingi lakini je mazingira wezeshi yapo?