TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

yaani Tanzania bana tokea jana mpaka leo hawajaokolewa kweli mbaya sana
 
Kikubwa tusubir tu majibu wawe wazima. Mengine atatueleza maana tutamuuliza
 
Hivi hii nchi mbona tunapenda masihara kwa mambo mazito.. Toka jana saa tano usiku mpaka leo hakuna taarifa yoyote..

Labda tunasubiri waokoaji toka Israeli. Ndo muone haja ya kuwapumzisha CCM! Hata jeshi la uokoaji halina vifaa!
 

Mkuu Sasa Hizo Harakati Unaendeshaje Bila Kuwa Na Ofisi Za Kupangia Mikakati?Hivi Niambie Shiling Ngap Mnatumia Kufanya Vikao Vyenu Mahotelini Na Ni Kiasi Gan Mngetumia Kujenga Ofisi Zenu Kufanya Vikao?
Kwahiyo Nyie Mmechagua Mahotelini Instead Ya Ofisi Zenu?
 
waweza kuwa na chopa lakini usifanikiwa kupin point eneo la tukio,,,,,,
kama wako salama wangeweza kuwasha hata moto ili moshi uwe ishara waweze kuonwa kwa urahisi

Huo moto wanauwasha kwa kutumia nini huko porini? Labda kwa ulindi na ulimbombo
 

Jiwe likirushwa gizani..mtu akilia yalaaah...ujue limempata.....Kudos,,,
 
Basi huo msitu mkubwa toka jana hawajampata
 
Aidha Meya wa Ilala, Jerry Silaa asubuhi hii aliandika kwenye kurasa yake ya Instagram kuwa: “Baba yangu Capt.William Silaa akiwa na Mhe.Deo Filikunjombe na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya helicopter 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa. Taarifa za mwisho ilionekana imeanguka kwenye msitu wa Selous. Hakuna mawasiliano ya simu. Usiku kucha vyombo vyote vya serikali vimeendelea na jitihada za kufika eneo la tukio na jitihada kubwa zaidi zinaendelea asubuhi hii. Nawaomba wote kuwa watulivu kwani jambo hili linahitaji umakini wa hali ya juu na ushirikiano wa taasisi nyingi za wizara tofauti. Tuwaombee wote Mungu awanusuru."
 

Kwa maneno haya ya jery slaa ni kuwa jamaa wamelufa
 

Mkuu tutaenda mbali kwa mijadala ya aina hii ,Chopa wanamiliki kina Gwajima wachungaji sembuse kwa taasisi kama CHADEMA ,hiyo sio priority ya CHADEMA sasa, nguvu kubwa ilipelekwa kwenye harakati na kuwakomboa wengi kifkra majengo yatajengwa tu
 

Kwani ofisi pale ufipa hazipo?? Na kama hizo hazifai zimewezaje kuzaa wabunge kuanzia wanne mwaka 1995 mpaka sasa 45+?? Mikutano unayosema tunafanyia mahotelini ni mingapi kwa mwaka mmoja?? Inagharimu kiasi gani?? Hivi magari yote yuliyo kila wilaya ya nchi hii ya M4C, gharama za mafuta kwa kila mwezi, posho za watendaji kwa ofisi zote Tanzania, bill za umeme, gharama za kuendesha operation kadhaa nchi nzima unadhani ni ndogo?? Kama unabeza hilo kwanini CUF, NCCR na vyama vingine vinashindwa kufanya mikutano mbalimbali ya kiharakati ili kuwafungua watanzania?? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..

Unashangaa CDM kupanga ofisi angali serikali ya CCM ilikodi ndege za ATC kwa gharama za kutisha na mpaka leo hatuoni benefits za ukodiji huo..
 
hivi mwamunyange amesharudi au bado isijekuwa hii ni zibaziba ili watu wasihoji ya mwamunyange.

samahani wakuu nilikuwa nawaza kwa sauti maana mbona hakuna taarifa ya kueleweka juu ya habari hii ya ajali hivi kweli hatuna uwezo hadi sasa wa kujua hali za waliokuwapo katika chopa? kama kweli hii ni hatari kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…