ZITTO Kabwe Ruyagwa Zittokabwe Nimepata taarifa za awali kutoka eneo la tukio. Ndugu yt Deo na baba yetu Silaa na abiria wengine wapo Salama. Polisi wanaendelea na juhudi
Huu ni upuuzi wa hali juu chama kinaweza kuwalipa wasanii Milioni 100 kwa siku mnashindwa hata kukodi helicopter za uokozi kusaidia toka usiku wote huo hatakama walikuwa salama je kama wanavuja damu si ndo washapotea sasa Huu ujinga kwelikweli au Maisha ya watu sio bora kuliko wakiwa wapambe tena Mwingine anajifanya kusimamia vijimsimamo vya kijinga Et CHOPA ZA CCM ZIPO SALAMA, hawa walikuwa kwenye Air Malaysia?
Last edited by a moderator: