TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Hapo ndio utajua CCM kwa uongo ni namba 1,hawaoni hata aibu kwenye maswala mazito kama haya?nimemdharau sana huyo January,
R.I.P Filikunjombe ulikuwa mpambanaji Wa ukweli nimeumia sana kukupoteza

Ovyo sana huyo mtu.. Mpuuzi wa wapuuzi. Na huko jimboni kwake akirudishwa bungeni nitashangaa sana..
 
It is so sad and honestly I can feel pain. In Deo Filikunjombe we remain united as a nation. It is a very big loss to this nation. He was young, committed, patriotic, reasonable guy with whom one could count on from a few remaining upright CCM members. We pray God to bless him plenty and decide his destiny according to what he did to this beloved country of ours. RIP Deo.
 
Poleni sana. Si jambo la furaha wala tusilitumie kisiasa. Mungu BABA atusamehe wote tunaoweka mzaha kwenye mambo ya uhai na uzima.Jerry, pole sana na wananchi wote wa jimbo la Mh Deo, poleni sana. Mungu MWENYEZI awape faraja ya kweli
 
R. I. P. Deo Filikujombe. Too young to go but we have no say in this, it is the wish of God
 
R.I.P brother a fighting man for the Tanzanians left in CCM but now you have run away..so sad.!
 
I see so sad nani atatutetea na kufichua mafisadi sipendi chama chake lakini Huyu kaka alikuwa anapigania maslahi ya wananchi.wameamua kumchukua r.I.p Deo
 
kumbe vinauma eeeeeh,by the way nilikuwa namquoate aliyetamani mkapa angekuwemo kwenye hiyo chopa

Ndugu usiimee kesho kwa vile hujui siku wala saa binaadamu ukishazaliwa unakuwa marehemu mtarajiwa maombi na kutenda yanayompendeza Mungu ndio uzima wa mwanadamu dhambi inaleta mauti hutanielewa lakini ukisoma maandiko Matakatifu utaelewa tu.
 
R.I.P Deo umeondoka mapema taifa bado lilikuwa linakuitaji
 
R.I.P. Deo na abiria wengine waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo. Pole sana Jerry & Fred Silaa
 
R.I.P Deo, You left us in this critical period, You was my hero, true young Tz Politician, patriot...We will always honour your effort in building an even more strong Tz.
 
Imeangukia nini? Yaani kifo hakina adabu. Tanzania tumepoteza kifaa kwa maneno ya marehemu Dr. Makaidi. Wiki hii ni mbaya sana. Haiwezekani tupoteze watu watatu wazito nndani ya siku tano tu!!!! Mungu tusamehe tulichokukosea!!!!!
(UPDATED 13:30 - October 16, 2015)

Kwa mujibu wa Jerry Silaa (aliyekuwa Meya wa Ilala):


Heshima kwenu Wakuu,

Kuna habari zinasambaa kwamba kuna Chopa ilikua imebeba Makada wa CCM imepotea ikiwa inaelekea Njombe.

Taarifa zinasema, wakati inaondoka ilishindwa kupaa lakini mwisho wa siku ikawa imepaa.

Hadi sasa sijajua kipi ni kipi. Hivo nimeileta hii habari kama tetesi ili mwenye taarifa za mwanzo atujuze.

Asanteni sana.

========
UPDATES:

- JamiiForums imejaribu kumtafuta Filikunjombe kupitia simu yake ya mkononi bila ufanisi
- Taarifa zinabainisha kuwa kweli kuna ajali ya helikopta imetokea lakini mpaka sasa hali za waliokuwa kwenye chombo hicho hazijajulikana
- Baadhi ya abiria wanaodaiwa kuwa ndani ya chombo hicho ambacho kinasemekana kilikuwa kikirushwa na Kapteni Silaa ambaye ni baba Mzazi wa Jerry Slaa, ni Haule (ndugu yake Filikunjombe), Deo Filikunjombe, Mtumishi mmoja wa Halmashauri mojawapo ya Mkoa wa Njombe...
- Jitihada za kufika eneo la ajali zimekuwa ngumu kwakuwa ni eneo ambalo si rahisi kufikika nyakati za usiku; juhudi zinaendelea
- Helikopta iliruka saa tisa ilitakiwa itue saa 11 Iringa. Status ni MISSING. Casualties sio CONFIRMED kwa kuwa ni porini mpaka kesho gari likifika eneo la tukio sababu kuna mto na watu wa camp na rangers hawawezi kuvuka usiku huu.

=> Katika Kituo cha Luninga cha ITV taarifa ya habari saa tano usiku wamethibitisha kutokea kwa ajali ya helkopta ambayo Deo Filikunjombe alikuwa anasafiria lakini wanadai yuko salama

================

- Ndege inayodaiwa kuanguka leo katika Hifadhi za Selou...

View attachment 299341View attachment 299342View attachment 299343View attachment 299344
 
Roho za marehemu zipate rehema kwa Mungu zipumzike kwa Amani.
 
Back
Top Bottom