TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Kifo cha deo ni pigo kwa Tanzania nzima

what a visionary young talent
 
Uchaguzi wa mwaka huu????

1 - Mohamed Mtoi
2 - Selina Kombani
3- Mgombea ubunge Arusha
4- Mzee Makaidi
5- Abdalla Kigoda
6- Deo Filikunjombe

Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina la bwana lihimidiwe
 
it's very sad for you to go,becouse we love you so much but our God the creater of everything olso loves you than us! i pray for you to be rest in peace!!
Mwalimu wangu wa grammer naomba rudi duniani umuone huyu kweli ndio kiingereza hiki
 

January makamba
 

Attachments

  • 1445003006706.jpg
    35.7 KB · Views: 172
Kama ni kweli ni huzuni kupita maelezo. Filikumjombe anakubalika na wengi hata wapinzani au wanamabadiliko.
 
CCM mjifunze sasa, acheni siasa za kuita wenzenu marehemu, maiti etc..
Kila nafsi itaonja mauti, lala salama filikunjombe.
 
Uchaguzi wa mwaka huu????

1 - Mohamed Mtoi
2 - Selina Kombani
3- Mgombea ubunge Arusha
4- Mzee Makaidi
5- Abdalla Kigoda
6- Deo Filikunjombe

Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina la bwana lihimidiwe
Mkuu umemsahau mchungaji Chris Mtikila.
 
RIP Deo . Ulikuwa kijana mzuri lakini Chama unachokiunga mkono sicho!

sasa naanza kuamini kwamba mungu amekitupa mkono ccm,hakina upako wowote ndio maana ajali NA vifo vimezidi,watubu NA kuomba wakiwa wamevaa magunia
 
Pumzika kwa amani Comrade Deo. Hakika utakumbukwa kwa mchango wako sio tuu kwa wana Ludewa bali pia kwa Taifa kiujumla. Amen.
 
Guys hivi ni kweli Deo kapata ajali na katutoka?
Roho inaniuma sana, tena sana yani kuhusu huyu jamaa. Ni jembe kuliko maelezo.
 
Dah!Sasa Deo alikuwa anafabya kampeni za niniii?

Mbona hiyo hela angeendelea tu kusomesha wake watoto!
Ungeacha wahangaike wa kutafuta kura Deo sio wewe Jembe!
 
TE=babukijana;14354453]Helikopter ilikataa kuruka,badala ya kucheck tecnic failure ikalazimishwa kuruka.only in Bongo


January Makamba ana kesi ya kujibu kazitoa wapi hizo helikopta mara tunasikia Mwigulu alishindwa kuruka ooh Kibajaji aliicha helkopta sijui kijiji gani hiyo ya akina Deo yenyewe ilikataa kuruka bado wakalazimisha kuna akili hapo kweli yaani maisha yao waliona yawekwe rehani kwa ajili ya CCM, chain ya Hashim Rungwe January Makmba na Captain Silaa uone wanavyojineemesha akina Deo ni victims tuu
 

Thanx 4 notification.
Inatisha Sana, yatupasa kuomba rehema kwa Muumba, yamkini atuepushe na hayo bcz yeye ni mwingi wa rehema na anatuwazia mawazo ya amani.

Sisi sote ni ndugu, poleni sana kwa tukio hili.
 
CCM mjifunze sasa, acheni siasa za kuita wenzenu marehemu, maiti etc..
Kila nafsi itaonja mauti, lala salama filikunjombe.

mkuu umetoa hoja nzito,kauli zao no chukizo mbele za mungu,ninahisi mwenyezi mungu kawategea mgongo ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…