Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu wangu wa grammer naomba rudi duniani umuone huyu kweli ndio kiingereza hikiit's very sad for you to go,becouse we love you so much but our God the creater of everything olso loves you than us! i pray for you to be rest in peace!!
Hiyo Tweet ya January sijaisoma, ila kwa jinsi watu wanavyoonyesha kukasirika lazima itakuwa ya hovyo sana. Jambo ambalo wengi ndani ya CCM hawajui ni kuwa pamoja na kuwa Baba yake January Mzee Makamba alikuwa Bogus sana kiasi cha kuitwa Pwagu, huyu mwanae ni zaidi ya baba. Lakini ndani ya CCM mtu akiwa bogus lakini mjanja mjanja basi huwa anachukuliwa ni Think tank. Hasa kama ataonyesha mbinu chafu za kukabiliana na Wapinzani.
Unaweza kushangaa mwenyewe kuwa katika timu ya watu Mashuhuri 32 walioteuliwa na chama kumkampenia mgombea wa chama Tawala (maana lazima uwe mashuhuri na makini) wapo Lusinde na Asumpta Mshama. Hiyo ni kuonyesha hata mtu wa hovyo hovyo kabisa anaweza kuonekana Mahiri kama tuu anaweza kuutukana upinzani bila aibu na kuandaa mbinu chafu.
Ndivyo ilivyo kwa Makamba.
Mkuu umemsahau mchungaji Chris Mtikila.Uchaguzi wa mwaka huu????
1 - Mohamed Mtoi
2 - Selina Kombani
3- Mgombea ubunge Arusha
4- Mzee Makaidi
5- Abdalla Kigoda
6- Deo Filikunjombe
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina la bwana lihimidiwe
RIP Deo . Ulikuwa kijana mzuri lakini Chama unachokiunga mkono sicho!
TE=babukijana;14354453]Helikopter ilikataa kuruka,badala ya kucheck tecnic failure ikalazimishwa kuruka.only in Bongo
Mwanadamu hawezi kuingia mipango ya MUNGU, katika uchaguzi huu muumba wetu alipanga yatokee hayo, ingawa sisi hatukujua lakini ilikuwa mipango yake ya sirini. Kuna siku nilipata maono kuwa watakufa wanasiasa wanaogombea ubunge wapatao sita (6). Naamini Filikunjombe ametimiza idadi hiyo. TUENDELEE KUMUOMBA MUNGU ALIEPUSHE TAIFA LETU NA MACHAFUKO TUNAPOELEKEA KATIKA UCHAGUZI, maana naliona giza nene likiwa limeifunika nchi yetu kwa muda wa miezi sita.
CCM mjifunze sasa, acheni siasa za kuita wenzenu marehemu, maiti etc..
Kila nafsi itaonja mauti, lala salama filikunjombe.
January makamba