TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Something must be extremely wrong with CCM.Why all these deaths.CCM take care.
 
R>I>P wote waliopatwa na janga. Mungu awape nguvu ndugu ,marafiki na wanachama wote wa Lumumba kwa wakati huu mgumu kwao wa majonzi.
Mapenzi yake Bwana binadamu hawezi kutia mkono.
 
sasa naanza kuamini kwamba mungu amekitupa mkono ccm,hakina upako wowote ndio maana ajali NA vifo vimezidi,watubu NA kuomba wakiwa wamevaa magunia
Subiri ndani ya siku hizi tisa zilizobaki,pigo linakuja kwa Chadema pigo la fainali
 

inawezekana ni helkopta za jeshi LA somalia,hazina rekodi ya kukarabatiwa/service NA pengine marubani hawajasomea hiyo kazi,labda in mafundi gereji tu
 
RIP mpambanaji hasa wa raia wake na taifa kwa ujumla
 
Milele na daima , Taifa litakukumbuka....

Mungu ailaze mahala pema peponi Deo mpambanaji
 
Uchaguzi wa mwaka huu????

1 - Mohamed Mtoi
2 - Selina Kombani
3- Mgombea ubunge Arusha
4- Mzee Makaidi
5- Abdalla Kigoda
6- Deo Filikunjombe

Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina la bwana lihimidiwe

7- Mchungaji Mtikila
 
January kwa kweli nina hofu na uwezo wake wa akili,ni bora angekaa kimya kuliko kutweet habari za uongo,yaani ujinga sana tena sana

Mm nashindwa kuelewa huyu January mbona mropokaji tuu bila kufikiri eti alikuwa tano bora
 
, chain ya Hashim Rungwe January Makmba na Captain Silaa uone wanavyojineemesha akina Deo ni victims tuu[/QUOTE]


Weka vuzuri haijaeleweka
 
Hata kama angesikia CNN au BBC bado ilimlazimu ajiridhishe kwanza kabla ya kukurupuka na kuleta propaganda za kijinga.

Acha uongo kama bosi wako. January Makamba na ITV nani kaanza kutangaza habari ya chopa kuanguka ?
 
R.I.P Deo na ndugu zangu mliokuwa kwenye hii ajali .

Poleni sana ndugu zangu wote mlioguswa kwa njia moja ama nyingine na msiba huu mkubwa

Respect !!!
 
Deo jamani, eeh Mungu why umeliruhusu hili litokee jamani? Nashindwa kuyazuia macho yangu yasitoe machozi, Mungu mpumzishe kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…