TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Ninamupmba Mwenyzi Mungu azipumzishe roho pahali pema roho za marehemu wote na awape moyo wa subira wafiwa na Watanzania wote - Amin!
 
Helcopta anayotumia deo hajakodiwa na chama... Ni yeye kama yeye.ndo maana makamba alisema helcopta zilizokodiwa na chama zipo salama zote

Ulichokua unabisha ni nini we Gamba. Huyo si February wenu.
 

Attachments

  • 1445009661999.jpg
    15.5 KB · Views: 985
  • 1445009681604.jpg
    16.3 KB · Views: 894
  • 1445009718666.jpg
    13.7 KB · Views: 889
  • 1445009749819.jpg
    12.6 KB · Views: 908
RIP Deo, RIP Mzee Silaa, RIP wengine waliokuwemo kwenye hiyo chopa
 
Wkt mwingine ajari ikitokea huwa naombea wangekuwemo ccm
 
Msiba wa Deo umetikisa taifa ....wanasiasa hili ni somo kubwa sana ....wananchi wanaona kazi zenu ....watawaenzi kwa namna mnayostahili ....Taifa limekuwa moja kupitia msiba huu ....
 

ndugu uwe mkweli, Tanzania na Watanzania tunamjua Deo kama mbunge mahiri kupata tokea. Kama humpendi basi usimzushie uongo. Buriani Deo
 
Kuna taarifa zinazagaa kuhusu janga jingine ...kutokana na sheria hii mpya ngoja tusikilizie .... Matola ameshadokeza ....
 
Last edited by a moderator:
Kuna taarifa zinatoka Kalenga hivi zinaukweli gani? kama kuna mtu ana source ndani ya Kalenga hebu apige simu.
Na mimi nimepata hizi habari kwenye whatsapp group,sasa sijui kama ni kweli,Ukweli utajulikana tu
 
Kazi ya mungu haina makosa umeodoka mpendwa wetu bado tunakuhitaji kushinda kipindi chochote lakin mungu kakupenda zaid (Mzalendo wa kweli mpenda nchi umenitoa machozi )
 
Hii helcopta "pengine" sio ya CCM ....lakini hili tukio linaweza kuiabisha Chama tawala ....
 
God have mercy on us.
R.i.p our friends, the pain is unbearable.
 
RIP Deo Filikunjombe. . . . . . .you did the job. . .We shall always remember you bro. .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…