TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Filukunjombe amefia njiani akikimbizwa hospitalini,pia pilot mzee silaa naye hatunaye.

Imeniuma sana kwa kweli yaani nimetokwa na machozi,mimi ni mwana UKAWA ila Deo nilikukubali sana kwa utendaji.Uwe na mapunziko mema kwa Mungu.
 
RIP, poleni wafiwa, bwana filikunjombe tulikua bado tunakuhitaji sana sisi ukawa, wewe ulikua mwanajeshi tulie kutuma ndani ya ccm kuwateketeza ccm.
 
Nimejikuta natokwa machozi kwa Deo jamani! Ktk ccm yote Deo nilikuwa naweza msikiliza! Ameniuma sana!
Duuuuh! RIP DEO!
jembe la ukweli na lapekee kutoka ccm!
Polen wana ludewa!
 
Duuh Mungu uwape moyo was subira na uvumilivu wote waliopoteza wapendwa wao.
 
RIP Mheshima Deo Filikunjombe,umetangulia lakini umeatuachia kumbukumbu kutokana na mchango wako katika bunge lililopita, tunabaki kujiuliza kwa Mungu KWANINI AMEYARUHUSU HAYA? Ila mwisho tunasema mapenzi yake yatimizwe.

I should be honest here, we have lost several souls recently but of all the lost souls this one has touched me beyond measure
 
Dah bora angehamia CHADEMA pengine asingefikia hapo.
Rest in Peace Deo so disapointing jamani.
 
(UPDATED 13:30 - October 16, 2015)

Kw
a mujibu wa Jerry Silaa (aliyekuwa Meya wa Ilala):


Heshima kwenu Wakuu,

Kuna habari zinasambaa kwamba kuna Chopa ilikua imebeba Makada wa CCM imepotea ikiwa inaelekea Njombe.

Taarifa zinasema, wakati inaondoka ilishindwa kupaa lakini mwisho wa siku ikawa imepaa.

Hadi sasa sijajua kipi ni kipi. Hivo nimeileta hii habari kama tetesi ili mwenye taarifa za mwanzo atujuze.

Asanteni sana.

========
UPDATES:

- JamiiForums imejaribu kumtafuta Filikunjombe kupitia simu yake ya mkononi bila ufanisi
- Taarifa zinabainisha kuwa kweli kuna ajali ya helikopta imetokea lakini mpaka sasa hali za waliokuwa kwenye chombo hicho hazijajulikana
- Baadhi ya abiria wanaodaiwa kuwa ndani ya chombo hicho ambacho kinasemekana kilikuwa kikirushwa na Kapteni Silaa ambaye ni baba Mzazi wa Jerry Slaa, ni Haule (ndugu yake Filikunjombe), Deo Filikunjombe, Mtumishi mmoja wa Halmashauri mojawapo ya Mkoa wa Njombe...
- Jitihada za kufika eneo la ajali zimekuwa ngumu kwakuwa ni eneo ambalo si rahisi kufikika nyakati za usiku; juhudi zinaendelea
- Helikopta iliruka saa tisa ilitakiwa itue saa 11 Iringa. Status ni MISSING. Casualties sio CONFIRMED kwa kuwa ni porini mpaka kesho gari likifika eneo la tukio sababu kuna mto na watu wa camp na rangers hawawezi kuvuka usiku huu.

=> Katika Kituo cha Luninga cha ITV taarifa ya habari saa tano usiku wamethibitisha kutokea kwa ajali ya helkopta ambayo Deo Filikunjombe alikuwa anasafiria lakini wanadai yuko salama

================

- Ndege inayodaiwa kuanguka leo katika Hifadhi za Selou...

View attachment 299341View attachment 299342View attachment 299343View attachment 299344


Poleni sana wafiwa deo filikunjombe kati ya majembe machache ndani ya CCM r i p pia pole sana slaa kwa kupoieza Baba pole pia kwa wengine
 
Pamoja na mimi ni mpinzani lakn nmesikitishwa sana na kifo cha Deo Filikunjombe alikuwa amejitofautisha sana na wana Ccm wengi
 
Ni nini jamani? Eeh Mungu tunusuru
 
Watanzania Bwana kila kitu ni siasa....natambua shukrani kwa rais, igp, magufuli je?

nawapa pole wafiwa wote..na mungu azipumzishe roho za marehemu

Anategemea Magufuli atapita ili amkvmbuke kwenye ufalme wake
 
Watanzania Bwana kila kitu ni siasa....natambua shukrani kwa rais, igp, magufuli je?

nawapa pole wafiwa wote..na mungu azipumzishe roho za marehemu

Huyo Jerry analeta siasa kama hajafiwa na babake vile.. Nimemdharau sana, Magufuli ndiye nani sasa??
 
Back
Top Bottom