Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,297
- 758
chopa ilikuwa na watu wanne lakini kila mtu anamuongelea deo iyo sio sawa....rip to all who have lost their life in that accident
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lowasa vipibora nape angetangulia!...
Duh hili sikulifikiri
Taarifa zinasema Chopa iliungua Je Miili Ipo au ni Majivu?
Hii sasa inatisha, pumzika kwa amani mheshimiwa umetimiza ipasavyo wajibu wako hapa duniani.
Kwa dalili hizi naona kifo cha mgombea Urais... Eeh Mola wanusuru waja wako.
January si ndio think tanker wenu? au hujui ndio msemaji wa ccm? tulioikataa ccm haya tunayajuwa siku nyingi jishangae wewe usimshangae Makamba.
Hizo dharau zenu zitawatokea puani mwaka huu.
Kwahiyo wazazi wa hao watoto ndio wenye jukumu la kuhakikisha Shule inakua na Madawati ya kutosha?
Kama wangeangukia anga zangu,ningewamalizia kwa mishale.Tumewachoka hawa ccm kila siku vitisho tu.25 October wakwere tutafahamiana tu.