TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Ngumu kusikia, ngumu kuamini, ngumu kuona , ngumu mwili ni, ngumu akilini na hata moyoni pia" nenda Comrade historia haitakusahau mbele yetu nyuma yake. Inauma sana tena sana.
 
LPoleni wafiwa.Watanzania wenye akili watajifunza afya na roho zetu ziko mkononi mwa Mungu.Haijalishi cheo chako, ubabe wako, upole wako, jeuri yako, utajiri wako, umaskini wako.. Mungu ndiye anayejua mwisho wa uhai wako hapa duniani.Jambo la muhimu zaidi ni kuitafuta hekima na kuishi vizuri na watu wote

Mungu turehemu na utuepushe na maafa haya kipindi hiki cha kampeni
 
Duh jamani..ccm walikuwa na kiongozi mmoja tu bungeni...nae Mungu kamchukua...wanabaki kina mwigulu? Duh sasa basi tena..pumzika kwa amani kaka..tunashukuru kwa kazi nzuri uliotufanyia watz...hakika jina lako halitafutika kwenye miyoyo yetu...kikubwa umewaachia watoto wako kitu cha kujivunia..hawatadharaulika kamwe...Baba yao alikuwa mtu wa tofauti pamoja na kuwa ndani ya nyumba ya wanyang'anyi ccm..

Amebaki Kangi Lugola.
 
MUNGU ampokee Deo Filikunjombe,Kama Taifa tumempoteza mtu muhimu sana! duu kifo hiki jamani!!!!
 
Msiba wa Deo umetikisa taifa ....wanasiasa hili ni somo kubwa sana ....wananchi wanaona kazi zenu ....watawaenzi kwa namna mnayostahili ....Taifa limekuwa moja kupitia msiba huu ....
Uko sahihi ndugu-
Deo ameniliza kama nilipolia kwa Mtoi, Rip,wako wanasiasa wakifa watu watalia kwa jicho moja uku wakisema moyoni afadhali amekufa kwa sababu ya matendo yao mabovu kwa wananchi wao na taifa letu.
 
......Aisee siamini bado, pole sana Habiba Filikunjombe, umebaki mjane ukiwa bado mdogo.
 
Rest in peace me on 25 to 30, if CCM win this ellection.

I can't be able to see CCM party continue ruling our country again
 
Kuna mambo tunapotezea kuepuka watu kufanya siasa kwenye msiba huu pamoja na utata unaojitokeza ....itoshe kumpa heshima zote Deo ....mzalendo wa kweli, Msema kweli ....kwaheri brother Deo ....
 
January si ndio think tanker wenu? au hujui ndio msemaji wa ccm? tulioikataa ccm haya tunayajuwa siku nyingi jishangae wewe usimshangae Makamba.

Mkuu nilitaka nimjibu huyo Gamba ila kula Like tu.
 
LPoleni wafiwa.Watanzania wenye akili watajifunza afya na roho zetu ziko mkononi mwa Mungu.Haijalishi cheo chako, ubabe wako, upole wako, jeuri yako, utajiri wako, umaskini wako.. Mungu ndiye anayejua mwisho wa uhai wako hapa duniani.Jambo la muhimu zaidi ni kuitafuta hekima na kuishi vizuri na watu wote

Mungu turehemu na utuepushe na maafa haya kipindi hiki cha kampeni
Amen..
 
Back
Top Bottom