Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
mkuu hata mm sikujua kwann watu walitoa taarifa kuwa waliokuwemo kwenye ndege n wazma kumbe wamefariki.
Nilijiuliza maswali mengi sana
Na ITV Ikatuhakikishia kuwa........kila kitu ni salama.........na TCRA ikasema.......ndio....salama kabisa.........