Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Still bado anachagua mpaka afike 40 ndio atasema nataka anaepumua tu, kuna ndugu yangu wa kike walifunga ndoa na jamaa yake jamaa hana kazi na binti by the time alikua hana kazi zaidi ya shughuli ndogo ndogo tu za hapa na pale wakapitisha michango (hio michango ndio ukawa mtaji wao) mpaka sasa wamepiga hatua sana binti kapata kazi na jamaa kapata kazi ila wameoana hawana kitu walikua na akili tu kichwani basi mengine ni jinsi ya kuzitumia akili zao kusonga mbele, kwa hio akili ni muhimu zaidi kuliko kipato kuliko muonekano32?... Lakini utapata, haya mambo ni magumu kiasi hicho?...
KulaliaKwani matiti yana kazi gani?
Kuyanyonya pia.Kulalia
Hakuna niliposema sitaki pesa yakeYaan unaendelea tu kuuchanachana mkeka mara una kipato hutaki pesa zake mara awe na kipato sasa kipi ni kipi mboni mitego mingi hapa anasakwa dubwe au? Haimaanishi hutotaka pesa zake utaka nini pumzi yake?
Hebu tuambie mpaka sasa body count inasoma ngapNiliwahi jaribu tukashindwana
Tuseme Kila mwaka kapigwa na wawili mara miaka 12=24Hebu tuambie mpaka sasa body count inasoma ngap
Na hapo ndipo ulipowafukuza wengi wenye akili timamu ila masifuri utawapata wengi subiri wakifika pmHakuna niliposema sitaki pesa yake
Niko hapa mama wa toto, sema kigezo cha kuwa mbali kimenitupa nje kivigezo π₯ΉWakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32
Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45
Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm
PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Anamaanisha mpaka sasa mwili wako ushabeba wanaume wangapi umetembea kilomita ngapi kwenye kupigwa pipe ili anataka kuingiza mguu ajue anakutana na nini ndaniWewe yako inasoma ngapi
ππππ Kwakweli hiyo ni pwentyi ya muhimu sana. Haya sasa mashangazi mshone sare.βNafanya kazi na Nina kipato kinachonitoshaβ kwa hii point tu wewe anza kuandaa kamati ya sendoff .. mume unaye na ndoa unayo.
Mzee wetu tembelea vijiwe vya marasta ukapose huko sio mbaya kumrudishia naturegenius of love on my way
sifa zangu
nina six packs
najielewa
mpole
kipato million 10 hadi 20 na kuendelea kwa week au mwezi
kazi aviation business
mweusi maji ya kunde
sio mrefu wala sio mfupi sio mwembamba au mnene
sinywi pombe
sivuti sigara wala bangi
sio mkatoliki masabato au mwislam au dhehebu lolote
nina penda music, movies, games na kutoka out tour etc
sio muongeaji sana ni mkimya
Duh mkeka wako mrefugenius of love on my way
sifa zangu
nina six packs
najielewa
mpole
kipato million 10 hadi 20 na kuendelea kwa week au mwezi
kazi aviation business
mweusi maji ya kunde
sio mrefu wala sio mfupi sio mwembamba au mnene
sinywi pombe
sivuti sigara wala bangi
sio mkatoliki masabato au mwislam au dhehebu lolote
nina penda music, movies, games na kutoka out tur etc
sio muongeaji sana ni mkimya
Limekua Shimo la Tewa au Nahuta Shimoni?Tuseme Kila mwaka kapigwa na wawili mara miaka 12=24
Unachagua sana wewe tafuta bar iliyo karibu nawe kaa peke yako subiri hapo mume unaemtaka atakufuata nimekupa mbinu mpyaDuh mkeka wako mrefu
π π Unanikubusha mbali sana mwanawaneee.. wife alikuwa na mtindi kama bahariKuyanyonya pia.
Ulishawahi vvalishwa nepi na mcheps alafu anakupakata anakunyonyesha
Nipigie pande basi kwa ex wife wakoπ π Unanikubusha mbali sana mwanawaneee.. wife alikuwa na mtindi kama bahari