Hello future Hubby

Hello future Hubby

32?... Lakini utapata, haya mambo ni magumu kiasi hicho?...
Still bado anachagua mpaka afike 40 ndio atasema nataka anaepumua tu, kuna ndugu yangu wa kike walifunga ndoa na jamaa yake jamaa hana kazi na binti by the time alikua hana kazi zaidi ya shughuli ndogo ndogo tu za hapa na pale wakapitisha michango (hio michango ndio ukawa mtaji wao) mpaka sasa wamepiga hatua sana binti kapata kazi na jamaa kapata kazi ila wameoana hawana kitu walikua na akili tu kichwani basi mengine ni jinsi ya kuzitumia akili zao kusonga mbele, kwa hio akili ni muhimu zaidi kuliko kipato kuliko muonekano
 
Kitendo cha kumuita mliye achana naye ( X wako) tayari ushatukimbiza wanaume serious kama 7 hivi, why umuite X wako na sio X tuu rekebisha hapo nrudie kusoma
 
Yaan unaendelea tu kuuchanachana mkeka mara una kipato hutaki pesa zake mara awe na kipato sasa kipi ni kipi mboni mitego mingi hapa anasakwa dubwe au? Haimaanishi hutotaka pesa zake utaka nini pumzi yake?
Hakuna niliposema sitaki pesa yake
 
genius of love on my way

sifa zangu

nina six packs

najielewa

mpole

kipato million 10 hadi 20 na kuendelea kwa week au mwezi

kazi aviation business

mweusi maji ya kunde

sio mrefu wala sio mfupi sio mwembamba au mnene

sinywi pombe

sivuti sigara wala bangi

sio mkatoliki masabato au mwislam au dhehebu lolote

nina penda music, movies, games na kutoka out tour etc

sio muongeaji sana ni mkimya
 
Wakuu
Nmekuja kwenu kwa heshima kabisa, nmechoka upweke wa muda mrefu
Natafuta mume sio mpenzi
SIfa zangu
1. Mimi ni mrefu kiasi mweusi
Sio mnene wala mwembamba (nyash ipo)

Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha
Ni mkristo mkatoliki
Sina mtoto wala sijawahi kuolewa
Naishi Dar
Nina miaka 32

Mwanaume ninayemtaka
1. Awe Dar sitaki long distance relationship kwa sababu nmeachana na x wangu kwa sababu ya umbali.
2. Uwe na kazi ya kukuingizia kipato au biashara
3 uwe tayari kuwa na familia, ndoa takatifu na kuwa baba wa familia
4. Uwe na akili timamu
5. Uwe mrefu mweusi ( mimi ni mweusi)
6. Uwe mkristu ( Lutheran au catholic ) wasabato hapana
7. Uwe umemaliza ujana sitakuwa na muda wa kukufatilia
8. Umri uanzzie 35 hadi 45

Nimekuja humu kwa sababu naamini mliopo humu ndo mliopo mtaani pia. Kwahiyo naomba msinibeze ukiona sikufai tafadhali usije pm

PM yangu ipo wazi, karibu future husband tuyajenge, nitakupenda hadi utafurahi
Niko hapa mama wa toto, sema kigezo cha kuwa mbali kimenitupa nje kivigezo 🥹
 
Wewe yako inasoma ngapi
Anamaanisha mpaka sasa mwili wako ushabeba wanaume wangapi umetembea kilomita ngapi kwenye kupigwa pipe ili anataka kuingiza mguu ajue anakutana na nini ndani
 
Nafanya kazi na Nina kipato kinachonitosha“ kwa hii point tu wewe anza kuandaa kamati ya sendoff .. mume unaye na ndoa unayo.
😂😂😂😂 Kwakweli hiyo ni pwentyi ya muhimu sana. Haya sasa mashangazi mshone sare.
 
genius of love on my way

sifa zangu

nina six packs

najielewa

mpole

kipato million 10 hadi 20 na kuendelea kwa week au mwezi

kazi aviation business

mweusi maji ya kunde

sio mrefu wala sio mfupi sio mwembamba au mnene

sinywi pombe

sivuti sigara wala bangi

sio mkatoliki masabato au mwislam au dhehebu lolote

nina penda music, movies, games na kutoka out tour etc

sio muongeaji sana ni mkimya
Mzee wetu tembelea vijiwe vya marasta ukapose huko sio mbaya kumrudishia nature
 
Kwakweli Dada kanyooka hana longolongo vijana mnaojielewa kazi kwenu sasa.
Vigezo vyote ninavyo ila umri umenikosesha mwanamke.
 
genius of love on my way

sifa zangu

nina six packs

najielewa

mpole

kipato million 10 hadi 20 na kuendelea kwa week au mwezi

kazi aviation business

mweusi maji ya kunde

sio mrefu wala sio mfupi sio mwembamba au mnene

sinywi pombe

sivuti sigara wala bangi

sio mkatoliki masabato au mwislam au dhehebu lolote

nina penda music, movies, games na kutoka out tur etc

sio muongeaji sana ni mkimya
Duh mkeka wako mrefu
 
Duh mkeka wako mrefu
Unachagua sana wewe tafuta bar iliyo karibu nawe kaa peke yako subiri hapo mume unaemtaka atakufuata nimekupa mbinu mpya

Zingatia; nyashi iwe inaoneonekana vizuri na wa kwanza kukufuata ndio awe wa mwisho chaguo lako usiendekezwe na tamaa kutaka wanaume 100 hutowaweza utapoteza tu muda wako
 
Back
Top Bottom