ndo unifundishe mie darasa la 7 sijui lugha hizo we humuoni diamond alivyofundishwa na zari mpaka anajua
akati nakuona kabisaa una iq kubwa au mchoyo wewe maana mie napenda mtoajimie mwenyew mweupe kichwan
Wewe una matatizo si bure.[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu....
Ebu naomba niwe mkweli kwa huu unao uita ugeni wako.....
Kwanza nimeshakua na neno la kusema kwamba..... I'D nyingi zilizo anzia May 2017 zina tatizo.
Pili wewe ni mwenyeji sana humu jf na nivyema ukatumia I'D yako ya zamani.
Ukibisha niambie niendelee......
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]