Hello if members am new here

Hello if members am new here

Karibu sana JF, kuwa huru kutoa maoni yako ila fuata taratibu..
 
Mkuu....
Ebu naomba niwe mkweli kwa huu unao uita ugeni wako.....
Kwanza nimeshakua na neno la kusema kwamba..... I'D nyingi zilizo anzia May 2017 zina tatizo.
Pili wewe ni mwenyeji sana humu jf na nivyema ukatumia I'D yako ya zamani.
Ukibisha niambie niendelee......
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Wewe una matatizo si bure.[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona wageni wakija unakuwa na hofu sana??[emoji47]
Umezoe kutongoza tongoza unahisi utatongoza mtu mmoja kwa I'd tofauti[emoji47]
Pambana na hali yako.
Kuwa kwako mwenyeji hapazuii watu wengine kujoin.[emoji41][emoji41]
Kwanza huku watu hawatakiwi kujuana hata kama akiwa na I'd mia kinakuuma nini[emoji19][emoji19][emoji19]
 
Nakukaribisha kwa moyo huru, But unambie kabisa utakaa nasi siku ngapi? usije ugulia madonda ya Ban! ukatuliza buree!!! na Mortually kumejaa mioto hai!
 
Back
Top Bottom