avatar inajielezaaaa
BTW kwani mgeni huyo kwa maana miaka miwili yupo humu ila alikuwa mpenzi mtazamaji anaelewa kila kitu kuhusu
Mi pia sina hakika
Kwann umehamua kujiita juicy?
Asante kwa kunifahamisha tuko pamoja wasijaliKaribu mamito.
Kwanza kuna fundi vitongozi huku. Halafu wanaume wa humu wengi wao hawana vifua. Vifua vyao wamebebea chuchu tu ila kuhifadhi mambo hawawezi.
Kuna wale wengine wa pm kitu kidogo anakuja pm ukatia neno th anakuuzia kesi.
Mgeni kapotea angethibitisha hiloonasisitiza mgeni ana wasifu wa kila mmoja wenu huku.
Karibu mamito.
Kwanza kuna fundi vitongozi huku. Halafu wanaume wa humu wengi wao hawana vifua. Vifua vyao wamebebea chuchu tu ila kuhifadhi mambo hawawezi.
Kuna wale wengine wa pm kitu kidogo anakuja pm ukatia neno th anakuuzia kesi.
Changamoto kubwa sana [emoji28][emoji28][emoji28]Hahahahaa.. hiyo nayo changamoto kama dictation
Kuhamua ndo nini babe?
Tuheshimiane jamani
Haya tuambie, jina halisi la Mzigua na anapoishiHabari zenu wakuu.
Hatimaye nimejiunga rasmi JF baada ya kuwa anonymous kwa kipindi cha miaka miwili. Alienifanya nimejiunga ni rafiki yangu Mzigua90 baada kuona app ya JamiiForum kwenye simu yangu lakini sijajisajili.
Nategemea ushirikiano wenu.
Alamsik.
Changamoto kubwa sana [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mama wambie wasikatishe nataka kumiliki hili jimbo[emoji39] [emoji39]Habari zenu wakuu.
Hatimaye nimejiunga rasmi JF baada ya kuwa anonymous kwa kipindi cha miaka miwili. Alienifanya nimejiunga ni rafiki yangu Mzigua90 baada kuona app ya JamiiForum kwenye simu yangu lakini sijajisajili.
Nategemea ushirikiano wenu.
Alamsik.