Hello JF

Karibu mamito.

Kwanza kuna fundi vitongozi huku. Halafu wanaume wa humu wengi wao hawana vifua. Vifua vyao wamebebea chuchu tu ila kuhifadhi mambo hawawezi.
Kuna wale wengine wa pm kitu kidogo anakuja pm ukatia neno th anakuuzia kesi.
Asante kwa kunifahamisha tuko pamoja wasijali

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Karibu mamito.

Kwanza kuna fundi vitongozi huku. Halafu wanaume wa humu wengi wao hawana vifua. Vifua vyao wamebebea chuchu tu ila kuhifadhi mambo hawawezi.
Kuna wale wengine wa pm kitu kidogo anakuja pm ukatia neno th anakuuzia kesi.

Tuheshimiane jamani
 
Haya tuambie, jina halisi la Mzigua na anapoishi

Halafu kwani sasa haupo anonymous?
 
Mama wambie wasikatishe nataka kumiliki hili jimbo[emoji39] [emoji39]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…