Hello wenyeji

wana jamii forum mie ni mgeni humu naomba mnikaribishe

na bila shaka naamini ntafaidika na mengi ya elimu burudani na makala nyingi za humu

natanguliza shukrani zangu
 

Attachments

  • Think-like-a-Queen.A-Queen-is-not-afraid-to-fail.Failru-2.jpg
    25.1 KB · Views: 40
Tabia tutajuana mbele kwa mbele, nadhani unaweza kuishi na watu.. Kama unaweza basi hata haita kua tabu, mi nitakuvumilia ktk yote freshgirl
 
Yaaah nikweli kabisa , ila duuhhh USA hawezi kuanguka , aya mataifa mengine yapo tu kusaidia kupunguza punguza Ukali Wa US maana akiachwa US pekee yake Dunia ndo itaharibika zaidi !!.
mkuu

naona mnaelewana lugha zenu...chemistry yenu imekaa vizuri..mnaendana...nawatakia kila la kheri ktk maisha yenu mapya ya uchumba
 
Fresh girl you are lookin good en very polite..!

Iam realy in love with your picture en i speak this from the bottom of my heart.[emoji115] [emoji115] [emoji174] [emoji174] [emoji122] [emoji122]

Follow me inbox..
 
Yaaah nikweli kabisa , ila duuhhh USA hawezi kuanguka , aya mataifa mengine yapo tu kusaidia kupunguza punguza Ukali Wa US maana akiachwa US pekee yake Dunia ndo itaharibika zaidi !!.
kwa nini usa haiwezi kuanguka as a superpower? mie naona inawezekana ni suala la mda tu
 
Fresh girl you are lookin good en very polite..!

Iam realy in love with your picture en i speak this from the bottom of my heart.[emoji115] [emoji115] [emoji174] [emoji174] [emoji122] [emoji122]

Follow me inbox..
asante una visa kama jina lako
 
kwa nini usa haiwezi kuanguka as a superpower? mie naona inawezekana ni suala la mda tu
Hapana USA, she will never ever !! Mie I used to relate mambo mengi using the science of Theology !! n.b am not a theologian ... Sasa according to theologian they do believe kwamba US ndio Taifa Pekee ambalo Litabakia kusimama .

Nahiyo naamin itabaki kua ivo ,hili Taifa nikiongozi kwa kila kitu.
 
mkuu

naona mnaelewana lugha zenu...chemistry yenu imekaa vizuri..mnaendana...nawatakia kila la kheri ktk maisha yenu mapya ya uchumba
eeeh aka mie nina wangu nimekuja jf kupata tu mawazo mapya
watu mna vituko nyie sijapata kuona
 
kama ni hivo sawa, ila kumbuka hizo ni theory tu!!
nani angetabiri daud kumuangusha goliath?
sina uhakika wa hili lakin naamin wataanguka
 
hakuna mabingwa wala wafalme wa milele wafalme huja wakaondoka
usa nae umsimuekee guarantee hata kama yupo strong kiasi gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…