manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,605
- 2,055
"binadamu akiongea huwa sawa kabisa na malaika, ila amechafuka kwa uongo na upuuzi''
naamini upo serious as i told you i will think about that
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"binadamu akiongea huwa sawa kabisa na malaika, ila amechafuka kwa uongo na upuuzi''
naamini upo serious as i told you i will think about that
wana jamii forum mie ni mgeni humu naomba mnikaribishe
na bila shaka naamini ntafaidika na mengi ya elimu burudani na makala nyingi za humu
natanguliza shukrani zangu
mkuuYaaah nikweli kabisa , ila duuhhh USA hawezi kuanguka , aya mataifa mengine yapo tu kusaidia kupunguza punguza Ukali Wa US maana akiachwa US pekee yake Dunia ndo itaharibika zaidi !!.
Humu hamna Kaka, dada, baba n.k humu kila mtu ni "Mkuu"looh! pole kaka tayari yupo anaenimiliki
kwa nini usa haiwezi kuanguka as a superpower? mie naona inawezekana ni suala la mda tuYaaah nikweli kabisa , ila duuhhh USA hawezi kuanguka , aya mataifa mengine yapo tu kusaidia kupunguza punguza Ukali Wa US maana akiachwa US pekee yake Dunia ndo itaharibika zaidi !!.
asante una visa kama jina lakoFresh girl you are lookin good en very polite..!
Iam realy in love with your picture en i speak this from the bottom of my heart.[emoji115] [emoji115] [emoji174] [emoji174] [emoji122] [emoji122]
Follow me inbox..
Hapana USA, she will never ever !! Mie I used to relate mambo mengi using the science of Theology !! n.b am not a theologian ... Sasa according to theologian they do believe kwamba US ndio Taifa Pekee ambalo Litabakia kusimama .kwa nini usa haiwezi kuanguka as a superpower? mie naona inawezekana ni suala la mda tu
kama ni hivo sawa, ila kumbuka hizo ni theory tu!!Hapana USA, she will never ever !! Mie I used to relate mambo mengi using the science of Theology !! n.b am not a theologian ... Sasa according to theologian they do believe kwamba US ndio Taifa Pekee ambalo Litabakia kusimama .
Nahiyo naamin itabaki kua ivo ,hili Taifa nikiongozi kwa kila kitu.
hakuna mabingwa wala wafalme wa milele wafalme huja wakaondokaHapana USA, she will never ever !! Mie I used to relate mambo mengi using the science of Theology !! n.b am not a theologian ... Sasa according to theologian they do believe kwamba US ndio Taifa Pekee ambalo Litabakia kusimama .
Nahiyo naamin itabaki kua ivo ,hili Taifa nikiongozi kwa kila kitu.
We nawe inatosha sasaWots wrng if i tell u?!
Kwani hiyo picha ni wewe?mmh sio kwa kusifu huko utanifanya nibadili picha
Ooh i just wanted to compliment you...wala sio mim