Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekuwa watu wa ajabu ajabu sana, utapeli, kudhurumiana, kutojaliana, kufurahia mwenzako kuwa na matatizo shida, wizi yaani mambo ya ajabu.
Mtu unayesoma huyu ni wangu nifunguke kwake tutashare mawili matatu , unaishia kupata disappointments tu.
Unacheka mwenzio anaumia?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km.mazuri
Unacheka mwenzio anaumia?
Sawa mkuu.
Ndiyo rafiki,nilishawahi!Rafiki ushawahi niona?
Akiwa na Chura utamsaidia?Ndiyo rafiki,nilishawahi!
AmuHivi ni mimi nayepitia haya au kuna wenzangu?