Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Ndo nakwambia hapa ni survive for fittest..sasa wewe shupaza hilo komwe sasa hivi utaanguka kwa mbata toka kwa mzimu lilo!
wewe mjomba nawe tulia unaniabisha! tuliza hilo pandikizi usoni!Karibu sana naitwa mwakampashile akasopenaye
ahsante kumbe we mbwa mwitu!Ndo nakwambia hapa ni survive for fittest..
Weee komaa nae ila mi ni humu humu jukwaani mpaka aelewe an sina haraka sana...
Japo unaniona mpole ila kwenye haya mambo nakuaga mkali ka mbwa mwitu
Sawa sawa...ahsante kumbe we mbwa mwitu!
pita kushoto kwanza tutaongea baadae... survive survive tuliza hilo taji usoni kwanza...πSawa sawa...
Ngoja tuone who is better
Nasemaje nasemaje...pita kushoto kwanza tutaongea baadae... survive survive tuliza hilo taji usoni kwanza...π
tukajua tumemaliza tatizo lako kifamilia kumbe bado tu unatafuna bangi badala yakuvuta...π€£Nasemaje nasemaje...
Watulize hao wengine kwanza huyu nachie au unataka niseme uliokua nao hapa jukwaani...
Mkuu chunga sana ahahahah
Yaani mkuu leo utaongea mengi sana..tukajua tumemaliza tatizo lako kifamilia kumbe bado tu unatafuna bangi badala yakuvuta...π€£
kuwa na shipa la uvumilivu..πYaani mkuu leo utaongea mengi sana..
Hapa hainaga vipimo chuki chuki...
Weee tembea huko PM ila mimi nachokwambia time itaongea hapa
π
Mpaka moderator kadata, aloo wewe ban sahauππKaribu sana Mamyboss
Hata kwa upande wako na wewe kaa kwa kutulia...kuwa na shipa la uvumilivu..π
Acha zako ww....Karibu sana katika mtandao pendwa nchini Tanzania jamii forums, Mamyboss
Mimi naitwa Roca fella ni naibu mkurugenzi wa jamii forums
Nione inbox tafadhali kwa maelezo muhimu.
ππππ WAACHE wanawake wazuri wake kwangu kwa maana ufalme wangu waurithi.michawi inazidi kuwa mingi tu!..π
Mkuu kumkaribisha mgeni ni vibaya π³Acha zako ww....
Unaweka na italic kabisa
Hahahawewe mjomba nawe tulia unaniabisha! tuliza hilo pandikizi usoni!
Jichanganye unazani ni pisi hiyowewe mjomba nawe tulia unaniabisha! tuliza hilo pandikizi usoni!
Karibu sana mamaaHodi mtaa huu. Nafurahi kuwa mwanafamilia