Hello

Hello

sasa wewe shupaza hilo komwe sasa hivi utaanguka kwa mbata toka kwa mzimu lilo!
Ndo nakwambia hapa ni survive for fittest..

Weee komaa nae ila mi ni humu humu jukwaani mpaka aelewe an sina haraka sana...

Japo unaniona mpole ila kwenye haya mambo nakuaga mkali ka mbwa mwitu
 
pita kushoto kwanza tutaongea baadae... survive survive tuliza hilo taji usoni kwanza...😂
Nasemaje nasemaje...

Watulize hao wengine kwanza huyu nachie au unataka niseme uliokua nao hapa jukwaani...
Mkuu chunga sana ahahahah
 
tukajua tumemaliza tatizo lako kifamilia kumbe bado tu unatafuna bangi badala yakuvuta...🤣
Yaani mkuu leo utaongea mengi sana..
Hapa hainaga vipimo chuki chuki...
Weee tembea huko PM ila mimi nachokwambia time itaongea hapa
😂
 
Back
Top Bottom