Naitwa Irene kutoka Dar Tanzania.
Nilifika kijijini siku mbili tatu zilizopita nikawa nashindwa kuona mahala pa kupost thread sasa nimepapata nakupeni hi wote!
Naamini mmenikaribisha hapa kijijini kwenu ijapo niliingia bila hodi ndo nikagonga hodi baada ya kufika ndani.
Cheers!
Nilifika kijijini siku mbili tatu zilizopita nikawa nashindwa kuona mahala pa kupost thread sasa nimepapata nakupeni hi wote!
Naamini mmenikaribisha hapa kijijini kwenu ijapo niliingia bila hodi ndo nikagonga hodi baada ya kufika ndani.
Cheers!