Helooo...!

Helooo...!

Khantwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
59,415
Reaction score
119,473
Habari Great thinkers,
Nimewamisimooo..
Ni muda sijaingia hapa natumaini mko poa. Asante kwa mliokuwa mnanimisi, asante kwa mliokuwa mnaniuliza na wengine mlikuja PM. Ninyi niliokuta meseji zenu najua ninyi tu ndio mnanipenda kwa dhati teh teh..(jokes).
Ila mwenzenu nimekuwa mshamba kwenye hii Jf mpya naomba mnipe muongozo. Ukitaka kumentio jina la mtu unafanyaje? Maana zamani ukitaka kufanya hivyo unaweka @ then jina ila sasa hivi naona kama sio...then emoj mbona hamna? Maana mwanzo nilikuwa napata na nilikuwa natumia simu hi hii.
Naomba mnipe na mabadiliko mengine maana mmmh...
Nawapendaga sana wanachitchat
 
Liko wazi hilo mbona.. Mwandiko umenona unaonyesha neema ya mwandikaji😀😀
Hapa nna njaa sijala tangu asubuhi hebu niwezeshe basi hata buku mbili
 
Back
Top Bottom