tatizo mabinti mko commercial zaidi, kuacha unataka kuendelea unataka, Lol.
Fidel there is something not good about you!!! do you know it?
vyote anavyonipa nina uwezo wa kuvipata from my pay slip. So its just that I have to start a new life. A life with Budgets!!! Somehow tough brother
Hey guyz! I've got A boyfriend who really cares for me monetary wise!! The opposite side of the coin is that we have no marriage plans!. The way I look at him I dont see my future with him. Nataka kumuacha lakini nashindwa jamani. Alishawahi kunitamkia wazi, Babu yao aliacha laana kwao mtu yeyote aioe mchagga and he wont go against that! At the age of 24 I really need a serious relationship!! am sorry my Pal if you are reading this! Am not growing any younger!!!
Please members just advise on how am I going to tell him to go on his own!! This guy has been paying my rent, DSTV bills, Fueling my Car frequently, Lots me kwakweli. But I just need to say enough now.
Jamani nashindwa nimuanzeje?
:d:d:ddah!mbona nilisha weka wazi mm sasa basi wewe si ndo mwenye kutoa jamani au unafikiri utakuwa unalazimishwa mama mm nilisha weka sasa basi na nimesha mrudia mungu....hofu yako ya nn mama njoo upike kwangu achana na huyo anae kuzeesha anakumega ovyo ovyo baadae utakongoroka na kukosa mwelekeo ukajikatia tamaa ya kuolewa it's your chance to stay with me.
DAH!Fidel Wewe unasemaga ni mzee wa kujiexpress!! Thats a very bad sin Man!! Out of that I could Have considered you!!
Fidel Wewe unasemaga ni mzee wa kujiexpress!! Thats a very bad sin Man!! Out of that I could Have considered you!!
dah!1. Hiyo red hiyo: Agrrrrrrrh! Huyo jamaa yako shule yake ikoje? Kichwa chake kiko sawa? Mpaka leo bado anaendekeza mambo ya kizamani? Eti hawezi kwenda against babu yake. Babu yake angemwambia lazima aliwe tigo ingekuwaje? Kalaghabaho!
2.Hiyo blue; You are still young! Naona umri bado unakusumbua, subiri ukue zaidi kama hutajali.
3. Hiyo bold nyeusi: Naona bado unamhitaji sana huyu bwana. Sasa fanya hivi, tafuta kiwanja Bunju, mkonvisi akujengee bangaluu. Likimalizika mwambie its better to obey our ancestors! Babu lazima aheshimiwe, siyo! Kila mtu anachukua hamsini zake, by then utakuwa na miaka 26/27! Na kina Fidel watakuwa wameshafikia targets zao za kuoa pia. You never knoo!
Otherwise? Hahahaha! LOL!
Hey guyz! I've got A boyfriend who really cares for me monetary wise!! The opposite side of the coin is that we have no marriage plans!. The way I look at him I dont see my future with him. Nataka kumuacha lakini nashindwa jamani. Alishawahi kunitamkia wazi, Babu yao aliacha laana kwao mtu yeyote aioe mchagga and he wont go against that! At the age of 24 I really need a serious relationship!! am sorry my Pal if you are reading this! Am not growing any younger!!!
Please members just advise on how am I going to tell him to go on his own!! This guy has been paying my rent, DSTV bills, Fueling my Car frequently, Lots me kwakweli. But I just need to say enough now.
Jamani nashindwa nimuanzeje?
1. Hiyo red hiyo: Agrrrrrrrh! Huyo jamaa yako shule yake ikoje? Kichwa chake kiko sawa? Mpaka leo bado anaendekeza mambo ya kizamani? Eti hawezi kwenda against babu yake. Babu yake angemwambia lazima aliwe tigo ingekuwaje? Kalaghabaho!
2.Hiyo blue; You are still young! Naona umri bado unakusumbua, subiri ukue zaidi kama hutajali.
3. Hiyo bold nyeusi: Naona bado unamhitaji sana huyu bwana. Sasa fanya hivi, tafuta kiwanja Bunju, mkonvisi akujengee bangaluu. Likimalizika mwambie its better to obey our ancestors! Babu lazima aheshimiwe, siyo! Kila mtu anachukua hamsini zake, by then utakuwa na miaka 26/27! Na kina Fidel watakuwa wameshafikia targets zao za kuoa pia. You never knoo!
Otherwise? Hahahaha! LOL!
..Hapa umelonga mazee...Ni ma-entreprenuer sio pole pole!!!tatizo mabinti mko commercial zaidi, kuacha unataka kuendelea unataka, Lol.
DAH!
jamani jamani!😀
.....................!1. Hiyo red hiyo: Agrrrrrrrh! Huyo jamaa yako shule yake ikoje? Kichwa chake kiko sawa? Mpaka leo bado anaendekeza mambo ya kizamani? Eti hawezi kwenda against babu yake. Babu yake angemwambia lazima aliwe tigo ingekuwaje? Kalaghabaho!
2.Hiyo blue; You are still young! Naona umri bado unakusumbua, subiri ukue zaidi kama hutajali.
3. Hiyo bold nyeusi: Naona bado unamhitaji sana huyu bwana. Sasa fanya hivi, tafuta kiwanja Bunju, mkonvisi akujengee bangaluu. Likimalizika mwambie its better to obey our ancestors! Babu lazima aheshimiwe, siyo! Kila mtu anachukua hamsini zake, by then utakuwa na miaka 26/27! Na kina Fidel watakuwa wameshafikia targets zao za kuoa pia. You never knoo!
Otherwise? Hahahaha! LOL!
Thats my lovely Brother Kris!! kaka fidel hafai, he comes from Gomora. you know what I mean?
senksi!yeah yaani mm napata uchungu wewe hapo february watu tunaruka ruka kwa shangwe alafu mm mbado hakijaeleweka sijui vivian haoni wivu hapo!!! Jamani vivian kwa nn haswa wafwanza hivyo?
.......hehehehe!Muulize Xpin tabia zangu akiwa kama kaka ako mnatoka the same jungle wewe mwenyewe hujui atakwambia hebu mPM.
1. Kwenye red mtu akiku care kifedha tu unaiita care??
2. Hakuna kitu kama laana mbona wazazi wetu hawakutuachia laana tuwe matajiri???
3. Vivian my dear sister unaonekana wewe u love for mercy...it is dangerous.
4. Huyo mchumba ako yeye ni kabila gani?? mbona kwao wanaonekana ni wakabila??
Muulize Xpin tabia zangu akiwa kama kaka ako mnatoka the same jungle wewe mwenyewe hujui atakwambia hebu mPM.