1. Hiyo red hiyo: Agrrrrrrrh! Huyo jamaa yako shule yake ikoje? Kichwa chake kiko sawa? Mpaka leo bado anaendekeza mambo ya kizamani? Eti hawezi kwenda against babu yake. Babu yake angemwambia lazima aliwe tigo ingekuwaje? Kalaghabaho!
2.Hiyo blue; You are still young! Naona umri bado unakusumbua, subiri ukue zaidi kama hutajali.
3. Hiyo bold nyeusi: Naona bado unamhitaji sana huyu bwana. Sasa fanya hivi, tafuta kiwanja Bunju, mkonvisi akujengee bangaluu. Likimalizika mwambie its better to obey our ancestors! Babu lazima aheshimiwe, siyo! Kila mtu anachukua hamsini zake, by then utakuwa na miaka 26/27! Na kina Fidel watakuwa wameshafikia targets zao za kuoa pia. You never knoo!
Otherwise? Hahahaha! LOL!