Hemed Morroco huwa unaenda mikoani kuangalia mechi za nini kama kikosi unaita hivi?

Hemed Morroco huwa unaenda mikoani kuangalia mechi za nini kama kikosi unaita hivi?

Saadun vs Kelvin John
Ajabu ameita mabeki wa kushoto watatu
 
Kocha alaumiwe kwa matokeo sio kuita kikosi.. Kumbuka scolari alipomuacha fundi romario.

Bwenzi yule wa kengold?? Anahitaji muda kidogo kuthibitisha kuwa ule sio upepo mzuri umepita kwake, anahitaji muendelezo wa kile alichokifanya kwenye mechi hizi chache.
Ata TP wangesubiria SAMATA athibitishe asingefika huko
 
KIBU
Kibu yupi unayemzungumzia? Kama ni huyu Denis basi jitahidi kuficha chuki yako kwake mkuu!
Kwa Nado sina neno alivoitwa hata asingeitwa sawa,ana katu na kakionesha!
number hana kuwazidi hao
 
Siku akifukuzwa utaenda Kumsaidia majukumu yake?

Kila kocha na tactics zake na wachezaji wake anaotumia, si kila mchezaji mzuri anafit tactics zote.

Jamaa kafuzu mataifa Africa, kaonesha Ujuzi wake, ana kila haki ya kupewa uhuru kuchagua anaowataka.
Hata kama mpira hauchezwi chumbani bwenzi na chikola Wana numbers na viwango vizuri kuliko kibu
 
Kocha wao anacheka tu
Makocha wa kibongo jau sana! Naangalia game ya Simba vs Dodoma zile tambo za Mexime zilizonifanya niiangalie hii mechi na nchoona kwa Dodoma ni tofauti, wachezaji wa Dodoma fitness ni zero🤣na wala hawachezi kama wana mwalimu wa mpira
 
Basi tuishie hapa! We endelea kuangalia namba.Ila tunaongalia mpira tunajua mchango na umuhimu wa kibu uwanjani katika club na taifa!
Hana mchango kuwazidi bwenzi na chikola
 
Hana mchango kuwazidi bwenzi na chikola
Sawa nimesema yaishe mkuu! Naona bwenzi na chikola timu zao ziko nafasi za juu kwenye ligi,na walipoitwa timu ya taifa athari yao ilionekana kuwa ni chanya!
Tufanye unavyotaka,kibu kapendelwa
 
Ata TP wangesubiria SAMATA athibitishe asingefika huko
Hapa unazungumzia kusain na kuitwa timu ya taifa..
Vyote ni kamari lakini vina utofauti kidogo..
Kumsajili mchezaji ukilega wenzio wanabeba, ama unaweza ukasajili akaja kuwa flop ama kushine.

Timu ya taifa mchezaji yupo tu, kama kocha haoni kama anafaa kwa sasa atafaa kwa baadae... Na kocha asilaumiwe kutomuita mchezaji, kocha alaumiwe kwa matokeo mabovu.

Hizi kelele za muite fulani, zipo duniani kote, muacheni mwalimu afanye kazi yake.
 
Hapa unazungumzia kusain na kuitwa timu ya taifa..
Vyote ni kamari lakini vina utofauti kidogo..
Kumsajili mchezaji ukilega wenzio wanabeba, ama unaweza ukasajili akaja kuwa flop ama kushine.

Timu ya taifa mchezaji yupo tu, kama kocha haoni kama anafaa kwa sasa atafaa kwa baadae... Na kocha asilaumiwe kutomuita mchezaji, kocha alaumiwe kwa matokeo mabovu.

Hizi kelele za muite fulani, zipo duniani kote, muacheni mwalimu afanye kazi yake.
Kuna nchi huwezi complain ata mkuu mfano Spain
 
Jamani ivi kweli BWENZI & CHIKOLA ni wakuachwa national team Aya na YONA AMOS JE?

KIBU DENIS NA IDDY NADO wameitwa kwa vigezo vipi wakuu?

Hapo kocha wangu umepuyanga kwakweli
Ally Salim anaitwa Yona Amos anaachwa
 
Muda mwingine ni ushabiki tu, Yani umuache mchezaj km kibu mwenye uzoefu na mech za kimataifa umchukue chikola.
 
Nimeishia hapo ulipohoji uhalali wa KIBU DENIS kuitwa.

Yanga tukicheza na Makolo mchezaji ninayemuhofia sana ni Kibu. Sio kwa sababu ni mfungaji mzuri bali hajuagi kitu kinaitwa kukata tamaa. Muda wote anakuja, muda wote anautaka mpira.
 
Back
Top Bottom