Hemed Morroco huwa unaenda mikoani kuangalia mechi za nini kama kikosi unaita hivi?

Hemed Morroco huwa unaenda mikoani kuangalia mechi za nini kama kikosi unaita hivi?

Muda mwingine ni ushabiki tu, Yani umuache mchezaj km kibu mwenye uzoefu na mech za kimataifa umchukue chikola.
Alizaliwa na huo uzoefu uyo kibu ?

What if asingeaminiwa Simba wakasajiliwa wazee wazoefu kina okwi

Hoffen, na bwenzi kwa mwaka huu wame perform better than KIBU
 
Nimeishia hapo ulipohoji uhalali wa KIBU DENIS kuitwa.

Yanga tukicheza na Makolo mchezaji ninayemuhofia sana ni Kibu. Sio kwa sababu ni mfungaji mzuri bali hajuagi kitu kinaitwa kukata tamaa. Muda wote anakuja, muda wote anautaka mpira.
Umeewaangalia bwenzi na CHIKOLA

Na mechi shida ya yanga wamefungwa wote kama ubora wa mtu ni kuisumbua yanga
 
Mkuu nna hakika unazungumzia Kibu Denis ,tanguliza utaifa kwanza achana na u club wa timu Yako ,Kibu ana shda gan?? Mm ni yanga ila hata mm Kwa ajili ya taifa naunga mkono
Jamani ivi kweli BWENZI & CHIKOLA ni wakuachwa national team Aya na YONA AMOS JE?

KIBU DENIS NA IDDY NADO wameitwa kwa vigezo vipi wakuu?

Hapo kocha wangu umepuyanga kwakweli
u u
 
Back
Top Bottom