hatari mkuuWewe T.I ni chamtoto tu, ana 5 biological children mbona ni kawaida tu kwa watu weusi. Ngoma ipo kwa DMX, mara ya mwisho kusikia mwaka juzi 2015 alipata mtoto wa 15 sijui sasa hivi kafikisha wangapi. Inaelekea DMX hajawahi kununua condom tangu azaliwe
Mambo ya peku peku kabla ya ndoa hayoAkihojiwa katika kipindi cha E News cha EATV Msanii wa bongo movie na bongo fleva Hemed amesema anawatoto zaidi ya sita lakini amekuwa akimpost mmoja kwenye mitandao ya kijamii
Anamfikia Akon?kwa mbele anaongoza T.I
Kama kakiri ni watoto wake hamna shida, shida iko kwa wale wanaojifanya mastaa wazaa halafu wanakataa sio wao.Akihojiwa katika kipindi cha E News cha EATV Msanii wa bongo movie na bongo fleva Hemed amesema anawatoto zaidi ya sita lakini amekuwa akimpost mmoja kwenye mitandao ya kijamii
KWELI KABISA NI NOMAA JAMAAWewe T.I ni chamtoto tu, ana 5 biological children mbona ni kawaida tu kwa watu weusi. Ngoma ipo kwa DMX, mara ya mwisho kusikia mwaka juzi 2015 alipata mtoto wa 15 sijui sasa hivi kafikisha wangapi. Inaelekea DMX hajawahi kununua condom tangu azaliwe
Shotala ndiyo nini, au ulimaanisha chotara?Shotala uchwara