Hemed PhD ndiye msanii mwenye watoto wengi Tanzania?

Hemed PhD ndiye msanii mwenye watoto wengi Tanzania?

Wewe T.I ni chamtoto tu, ana 5 biological children mbona ni kawaida tu kwa watu weusi. Ngoma ipo kwa DMX, mara ya mwisho kusikia mwaka juzi 2015 alipata mtoto wa 15 sijui sasa hivi kafikisha wangapi. Inaelekea DMX hajawahi kununua condom tangu azaliwe
hatari mkuu
 
Akihojiwa katika kipindi cha E News cha EATV Msanii wa bongo movie na bongo fleva Hemed amesema anawatoto zaidi ya sita lakini amekuwa akimpost mmoja kwenye mitandao ya kijamii


Mambo ya peku peku kabla ya ndoa hayo
 
Akihojiwa katika kipindi cha E News cha EATV Msanii wa bongo movie na bongo fleva Hemed amesema anawatoto zaidi ya sita lakini amekuwa akimpost mmoja kwenye mitandao ya kijamii


Kama kakiri ni watoto wake hamna shida, shida iko kwa wale wanaojifanya mastaa wazaa halafu wanakataa sio wao.
 
Wewe T.I ni chamtoto tu, ana 5 biological children mbona ni kawaida tu kwa watu weusi. Ngoma ipo kwa DMX, mara ya mwisho kusikia mwaka juzi 2015 alipata mtoto wa 15 sijui sasa hivi kafikisha wangapi. Inaelekea DMX hajawahi kununua condom tangu azaliwe
KWELI KABISA NI NOMAA JAMAA
 
Back
Top Bottom