Hemedy PhD adai watoto wake 6 wamepishana miezi miwili, miwili tu

Hemedy PhD adai watoto wake 6 wamepishana miezi miwili, miwili tu

Nipo Mlimani City nimemkuta mdada anajimiminia bia moja baada ya nyingine kwa hasira. Namuuliza kulikoni ndugu yangu, mbona bado asubuhi na mapema hivi? Ananiambia, "We fikiria uncle, nna maboy friend wangu hawa, watatu. Huyu mmoja nilimpenda sana nilikuwa nafikiria one day tutaoana. Yaani ndio nimekuja kugundua kumbe ananicheat na wanawake wengine. Uncle hapo ungekuwa wewe ungejisikiaje? ".
Inabidi na mimi niagize mzinga wa konyagi ili niendelee kutafakari.
Hahahaha karma is real
 
Mtoto wa kwanza mpaka wa sita hakuna hata mtu wa kumkanya ktk familia yake?amelelewa ktk familia gani huyu kijana{sisemi mimi ni msafi}ila ni aibu baba au mama kuitwa bibi au babu na watoto waliopatikana kwa njia ya uzinzi,tena wajukuu sita...asijifananishe na sijui Future huyu naamini amelelewa ktk maadili ya kidini huyo role model wake anaweza kuwa haamini uwepo wa Mungu na dhambi ila huyu dogo anao wazazi wanaoamini hivyo na anawatia aibu!sasaivi kijana kumtia demu mimba imekuwa sio hatari tena kwa wazazi bali ushujaa wa-Africa sivyo tulivyo sisi wazazi wawasimamie vijana wao wawape wake wakiona umri umefika!
Watu wa Tanga hao wewe waache kama walivyo...mbaya zaidi ni wa ile imani yetu kuwa na watoto wengi tena wa mama tofauti ni kawaida sanaaa.....
 
Huyu ana watoto!? Mi nikajua Sugu anavyombandua pale Denfrance basi hawezi kujaza mimba watu kama DAB
 
Hapa ndipo tulipofika kama jamii.Wasanii kujigamba juu ya mambo machafu hadharani,halafu wengine wanaiga.Jamii nzima inaelekea kushindwa kurejesha maadili ya ndoa na heshima kwa familia.Hata sisi sii wasafi,lakini hili la kutukuza uchafu hadharani ni baya.
 
Huyu jamaa huwa anaimbaga Kwaya au Kaswida!
 
Pimbi huyu hana lolote kuimba hajui ni ujanja ujanja tyu na masifa,ila awamu utanyooka labda uzibuliwe mtaro pumbv msijikweze kudanganya watu peleka huu upuuz wako facebook
 
Huyu maisha yameshamshinda, muvi zimekufa na kwenye muziki zero
 
anamuiga FUTURE sio????...sawa ngoja wafike kipindi cha kwenda shule!!..
 
Nipo Mlimani City nimemkuta mdada anajimiminia bia moja baada ya nyingine kwa hasira. Namuuliza kulikoni ndugu yangu, mbona bado asubuhi na mapema hivi? Ananiambia, "We fikiria uncle, nna maboy friend wangu hawa, watatu. Huyu mmoja nilimpenda sana nilikuwa nafikiria one day tutaoana. Yaani ndio nimekuja kugundua kumbe ananicheat na wanawake wengine. Uncle hapo ungekuwa wewe ungejisikiaje? ".
Inabidi na mimi niagize mzinga wa konyagi ili niendelee kutafakari.
Mkuu umenikumbusha movie moja hiv inaitwa gentleman's dignity jamaa mmoja hiv alimwambia mwanamke mmoja hivi you want a real love from me while i know your heart belongs to another person..
 
Back
Top Bottom