Hennessy ni overrated

Hennessy ni overrated

Halafu yamejaa mafeki nadhani.
 
Sitoki humu labda waniue,,
IMG_20200107_083903.jpg
 
So far pombe kali ambazo nmezifurahia ni tequila, na sababu kuu ni hali ya mwili kesho yake.
Kwa kiasi kikubwa hangover yake ni ndogo sana na manageable compared na ukifurumusha haya madude mengine.
Pia pombe kali zenye rangi hazishauriwi sana. Bora clear liquor.
Kama budget ni ya kuunga unga kunywa Camino.
Kama nafuu ipo pata Agavita au Patron (very smooth tequila).
Lakini kama nguvu ya noti iko kunywa Don Julio.
Wengi wanapenda kutumia limao na chumvi, lakini mimi n mfuasi wa nanasi na red pepper (japo hii combo kama sio mzoefu utawaka hatari)
 
Mara nyingi mwehu ndama Huwa Sina shobo na haya mapombe yenu ya bei mbaya , Lakini kwa kuwa nimeshakuwa mshua , na vumba langu ndani ya chodo linasoma kimtindo basi ushua wangu haujifichi kuanzia kwenye mavazi ,harufu ,chakula n.k..kama wasemavyo waswazi pesa inapoimba Hadi wenye hekima hukata mauno ya sunche na kapeto..!

Basi mshua ndama nikiwa ughaibuni niliporejea toka likizo bongo nyoso, Leo mchana nimeamua kuonja hii pombe yenu ambayo husababisha dada zetu waachie vipochi manyoya bila shuruti ,huku ikiwaacha vijana wengi wa daslamu wakiwa marinda free!!

Ukweli hii pombe ni overrated licha ya kuwa na bei ya kawaida lakini hata Radha yake ni hovyo sana, hii ya leo nitamuachia paka wangu Jerome ainywe pamoja na maziwa yake usiku ,huku the big boss nikirudi kwenye konyagi niliyobebe toka buza kwa lulenge
Mimi zungumzia chakula chochote kwangu ni bure, ila mchunga ndio wenyewe kwani una radha nzuri sana ambayo hauwezi kuipata kwenye chakula chochote kile.
 
Back
Top Bottom