Muinjilisti
Senior Member
- Dec 20, 2010
- 105
- 53
non of our biznec...nice couple!
mbunge wangu wa ubungo akiwa amepozi na maharusi
mpiganaji lema
kama kawa ulikuwa mwendo wa kombati jeusi
mwenzangu pokea pete hii.
Kwa hisani ya mithupu.
watu wanaosoma vipic vipic utawajua tu......
<br />
<br />
Duh! The bridegroom has a face like a bull chewing wasps. I am wondering how Joyce got to fall in love with such a somber visaged dude. Now I have to start to hold to a notion '' love is blind''
used+used=?????????
orgna 2000 na used 0!!!Ushawahi pata original wangapi? na umefaidika nini if u got so?
true!! maused wanavaaga mashera meusi!bi harus hata hana haya kuvaa shera nyeupe wakat n used
Hii ni harusi ya kwanza Joyce aliyofunga na huyo jamaa anaitwa Dj Nelly wa Clouds FM nafikiri harusi hii haikuchukua muda ndio wakaachana
Yule katibu wa mkoa wa kinondoni na katibu wa kuteuliwa wa kanda maalum ya Dar es salaam na mwanadada joyce kiria mtangazaji wa EATV siku ya tarehe 4.09.2011 wamefunga ndoa ya mfano wake baada ya bwana harusi na best man wake bwa godbless Lema kuvaa kombati katika tukio hilo, wengi wawashiriki walipongezasherehe kwa ujumla na kusema wameiga kitu kipya kutoka kwa wawili hawo.
<br />Watu hawajui kuchagua wanawake wa kuwaoa? Kweli nimeamini Chadema wote ni vipofu!
Wakuu mnijuze, inawezekana mimi mshamba, mfano wa kuigwa ni upi hapo?
-Kuvaa kombati za blue/nyeusi kwenye harusi
-Kuvaa gauni la harusi/kufunga ndoa mara mbili kwa kipindi kisichopungua miaka miwili
-Kuomba talaka kwa nguvu zote kwa lengo la kufunga ndoa na mtu mwingine baada ya kuona kuna future zaidi
-Mbowe, Mnyika, Godbless Lema kuhudhuria sherehe ya harusi ya dada aliyeomba talaka ya nguvu kwa mumewe wa ndoa baada ya kuona amechoka kiuchumi
Nami niungane na mwenzangu aliyeomba radhi hapo juu, Bwana Harusi anaonekana kinda zaidi kuliko Bi Harusi. Sasa sijui Bi Harusi ni effect ya mikorogo! Maana Bi Harusi rangi yake ya asili ni mweusi
Hahahha...<br />
Ulitaka uolewe wewe? Nenda nawe ukawe mke wa pili ila inatemeana kama jamaa atakukubali
ahhahahhahahah! au = CHUZDI=fused