Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

non of our biznec...nice couple!

Imeletwa hapa ijadiliwe, if it is non of my business kwa nini imekuja huku! Na kama imeletwa hapa ijadiliwe hayo ndiyo maoni yangu, si lazima yafanane na yako. Kila mtu yupo huru kujadili kitu kinacholetwa humu jamvini. Si kila kitu cha kufanyia upambe hata kama kinaenda tofauti na uelewa na imani zetu
 
Peopleeeeeee
power
nimeipenda hii
na bibie angepiga za hivi (kombati )
potelea kwa mbele hata wangeonekana kama mgambo sawatuuuu






mbunge wangu wa ubungo akiwa amepozi na maharusi



mpiganaji lema



kama kawa ulikuwa mwendo wa kombati jeusi



mwenzangu pokea pete hii.

Kwa hisani ya mithupu.
 
kama hii avatar yako ndo picha yako halisi
mboni we unatisha kuliko huyo bwana harusi?
toooa kwanza boriti kwenye jicho lakoooo
ndiipooo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzioooo





nyani haoni sa bu ri lake




<br />
<br />
Duh! The bridegroom has a face like a bull chewing wasps. I am wondering how Joyce got to fall in love with such a somber visaged dude. Now I have to start to hold to a notion '' love is blind''
 
Nawatakia maisha marefu na furaha tele.
 
Tunawashukuru wote mliyotupongeza na kututakia maisha mema na vile vile waliyotuponda kwani huwezi kumfurahisha kila binadamu... mungu awabariki sana..... be postive
 
Picha ya kanisani na picha ya gwanda tofauti tofauti for the bridegroom..so Mwita25 maybe the guy isn't so photogenic in the suits pic but he looked great in the other ( if its the same person )

By the way, I never expected, men from your place to diss other men in the basis of their physique...
 
Watu hawajui kuchagua wanawake wa kuwaoa? Kweli nimeamini Chadema wote ni vipofu!
 

hiyoni dalili ya kujiandaa na vita katika hicho kitendo walichokifanya.waombe neema ya ungu iwaongoze kabla uharibifu haujaingia
 
Watu hawajui kuchagua wanawake wa kuwaoa? Kweli nimeamini Chadema wote ni vipofu!
<br />
<br />
Ulitaka uolewe wewe? Nenda nawe ukawe mke wa pili ila inatemeana kama jamaa atakukubali
 

So sad mkuu kama haya ni ya kweli.
 
<br />
Ulitaka uolewe wewe? Nenda nawe ukawe mke wa pili ila inatemeana kama jamaa atakukubali
Hahahha...
Alianza DK Slaa kubeba mke wa mtu!
Amefuata huyu dogo!
Soon tutamuona Zitto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…