Henry Kilewo na Joyce Kiria wafunga ndoa ya mfano wa kuigwa

Watu hawajui kuchagua wanawake wa kuwaoa? Kweli nimeamini Chadema wote ni vipofu!
<br />
<br />
HUYU ANKASORO GAN? WE UKISEMA WA NINI MWENZIO HALALI ANAMUWAZA ATAMPATAJE!! KIPENDA ROHO HULA HATA MABOX
 
HUYU ANKASORO GAN? WE UKISEMA WA NINI MWENZIO HALALI ANAMUWAZA ATAMPATAJE!! KIPENDA ROHO HULA HATA MABOX
Huyu mwanamke unamfahamu vizuri?
Unajua maisha yake?
Sioni cha ajabu kwani hata Slaa alifanya hivyo hivyo!
 
Kwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......
 


Mbunge wangu wa Ubungo akiwa amepozi na maharusi



Mpiganaji Lema



Kama kawa ulikuwa mwendo wa kombati jeusi



Mwenzangu pokea pete hii.

Kwa hisani ya Mithupu.

Hongera kamanda Lema, my wife wako ametulia kweliiiiiiiiiiiiiiiii
 
Muhimu katika maisha ya ndoa ni furaha na uaminifu. Kama ndoa ya kwanza haikumpa furaha na utulivu wa moyo, ni uamuzi wake kaamua kutafuta furaha hiyo sehemu nyingine tena bila kificho. Mlitaka augue na kufa kwa msongo wa mawazo kama 'Mwanasiasa aliyeanza na utangazaji' kwa kuilinda ndoa isiyolindika kisa ni 'public figure'. Hongera Joyce kwa kufanya maamuzi kwa ajili ya furaha yako.
 
<br />
<br />
ummm...ok u are saying? Maana hata nimerudia ulichoandka mara 10 cjaelewa!
 
Hongera zao Mungu awatangulie na awabariki sana wazidi kupendana!
 
non of our biznec...nice couple!


Naona Joy alikulipa umtetee hapa, ila ukweli unabaki kuwa ukweli....Joy kakongoroka.......Naku-dedicate wimbo wa dudubaya "mwanamke kizidisha wanaume ni lazima achoke akongoroke...."
 
Kwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......

Kama kweli wewe ni kilewo, mwanaume wa ukweli habishani! hvi utajibu wangapi? yani ww kila anaekusema vibaya unamjibu....dah ni life lako binafsi lakin unaharibu pia image ya chama langu (CDM)...pls stop that man
 
Kama kweli wewe ni kilewo, <font color="#FF0000">mwanaume wa ukweli habishani</font>! hvi utajibu wangapi? yani ww kila anaekusema vibaya unamjibu....dah ni life lako binafsi lakin unaharibu pia image ya chama langu (CDM)...pls stop that man
<br />
<br />
Ushauri mzuri sana
 
Kama kweli wewe ni kilewo, mwanaume wa ukweli habishani! hvi utajibu wangapi? yani ww kila anaekusema vibaya unamjibu....dah ni life lako binafsi lakin unaharibu pia image ya chama langu (CDM)...pls stop that man

never say never be postive
 
kazidisha wapi hao wanaume!! kwani kuolewa kitu kibaya!! ehe makubwa ...yuko poa sana kuolewa hata mara mbili sio tatizo.Huwezi jua ndoa ya kwanza nani aliiharibu!!
 
<span style="font-family: Verdana">The future belongs to those who prepare for it today.</span> be postive
<br />
<br />
An hero alwayz correct errors bt a wise man avoid errors. Dont take take everything inn.
 
Huyu mwanamke unamfahamu vizuri?<br />
Unajua maisha yake? <br />
Sioni cha ajabu kwani hata Slaa alifanya hivyo hivyo!
<br />
<br />
we kwani siasa ni wanawake? Hujaonaga nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…